VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Kila halimashauri ya mji, wilaya kutenga maeneo makubwa kwa matumizi ya parks.
Idara maliasili ihifadhi uoto wa asili na kushirikiana na halmashauri husika kuwa na mpango master plan, kisha sector binafsi ishiriki kuwekeza kwa ubia pia, migahawa kumbi harusi za wazi nk.
Wizara iratibu zoo ndogo na kuweka wanyama na ndege.
Idara maliasili ihifadhi uoto wa asili na kushirikiana na halmashauri husika kuwa na mpango master plan, kisha sector binafsi ishiriki kuwekeza kwa ubia pia, migahawa kumbi harusi za wazi nk.
Wizara iratibu zoo ndogo na kuweka wanyama na ndege.