sekulu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 988
- 157
Nakumbuka Mh. Rais Alisema maafisa habari wa Wizara wapewe kazi na wafanye kazi zao, Lakini nashangaa kwa Upande wa Mh Maige, yeye kila siku unamkuta anazungumza kwenye Media sasa nashindwa kuelewa kama wizara haina Msemaji au ndo Jamaa anapenda kuuza Nyago, Maaana kila taarifa Kajamaa hakakosi!.
=============================================================
=============================================================