Wizara ya Maji anzeni kutumia maji ya mito mikubwa iliyo chini ya ardhi kama hii ya juu ina ukame

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,909
51,904
Tanzania ibahatika kuwa na maji mengi Sana Kuna yaliyo chini ya ardhi ambayo wengi huchimba visima

Lakini pia chini ya ardhi Kuna maeneo Yana maziwa makubwa yenye maji ambayo hutuama kwenye miamba aridhini.Mvua zikinyesha maji hutuama huko chini na kuweka reserve kubwa ya Maji ambazo hajijaguswa

Pia Kuna mito mikubwa sana mingi chini ya Ardhi ambayo huwa na chemichemi zake za ndani kwa ndani aridhini hutiririka bure na kwenda kumwaga maji baharini chini ya ardhi

Mfano Mbeya pale Igurusi kuna mto mkubwa unapita pale chini ya ardhi ambao maji yake huenda kuyamwaga baharini Cape Town Africa ya kusini

Kuna maeneo mengine kama rufiji pia kuna jito kubwa sana chini ya ardhi

Maeneo kama posta Mpya Dar es Salaam chini kuna mto pia iko mingi nchi nzima

Wataalamu wetu wa Hydrolojia na wataalamu wa geolojia waweza saidia hii nchi kwenye Hilo badala ya kuachia wanasiasa wanaoenda tu kukodolea macho mito na kusema ohhh hakuna maji ukame mtupu.

Ohhh Wananchi jiandaeni kwa mgao wa majii. Ni kama mwanasiasa kumkodolea tu macho mgonjwa bila kutumia kipimo chochote cha kitaalamu halafu anatangaza kuwa huyu mgonjwa ana malaria!

Wataalamu ingieni kazini
 
ANZA KWA KUONESHA MFANO WA BAADHI YA MAENEO YENYE MAZIWA CHINI YA ARDHI

Sio kila ardhi ina maziwa au mito ya chini kwa chini, tafuta hela mkuu chama kimerudi kwa wenyewe
 
Tatizo ni ccm, bila kuiondowa ccm haya hayawezi kufanyika.

Hakuna jipya uliloandika kwenye huu uzi wako ambalo halijurikani.

Dar sehemu nyingi wanategemea maji ya visima hata hiyo Dawasa hawaijui.

Ukienda Mbagala hakuna shida ya maji na hawaijui Dawasa, tatizo ni ccm.
Muarobaini wa matatizo ya nchi ni kuiondowa ccm au kuifuta kabisa kwa sababu ccm siyo chama cha siasa, bali ni kikundi cha kigaidi.
 
Tatizo ni ccm, bila kuiondowa ccm haya hayawezi kufanyika.

Hakuna jipya uliloandika kwenye huu uzi wako ambalo halijurikani.

Dar sehemu nyingi wanategemea maji ya visima hata hiyo Dawasa hawaijui.

Ukienda Mbagala hakuna shida ya maji na hawaijui Dawasa, tatizo ni ccm.
Muarobaini wa matatizo ya nchi ni kuiondowa ccm au kuifuta kabisa kwa sababu ccm siyo chama cha siasa, bali ni kikundi cha kigaidi.
Tatizo sio chama Ni watendaji serikalini wengi wao Ni business as usual tu.Anaenda ofisini kusaini na kurudi nyumbani tu

Hata Chadema ingeshika watendaji Kama Ni hao hao waliopo usitarajir maajabu
 
Tanzania ibahatika kuwa na maji mengi Sana Kuna yaliyo chini ya ardhi ambayo wengi huchimba visima

Lakini pia chini ya ardhi Kuna maeneo Yana maziwa makubwa yenye maji ambayo hutuama kwenye miamba aridhini.Mvua zikinyesha maji hutuama huko chini na kuweka reserve kubwa ya Maji ambazo hajijaguswa

Pia Kuna mito mikubwa sana mingi chini ya Ardhi ambayo huwa na chemichemi zake za ndani kwa ndani aridhini hutiririka bure na kwenda kumwaga maji baharini chini ya ardhi

Mfano Mbeya pale Igurusi kuna mto mkubwa unapita pale chini ya ardhi ambao maji yake huenda kuyamwaga baharini Cape Town Africa ya kusini

Kuna maeneo mengine kama rufiji pia kuna jito kubwa sana chini ya ardhi

Maeneo kama posta Mpya Dar es Salaam chini kuna mto pia iko mingi nchi nzima

Wataalamu wetu wa Hydrolojia na wataalamu wa geolojia waweza saidia hii nchi kwenye Hilo badala ya kuachia wanasiasa wanaoenda tu kukodolea macho mito na kusema ohhh hakuna maji ukame mtupu.

Ohhh Wananchi jiandaeni kwa mgao wa majii. Ni kama mwanasiasa kumkodolea tu macho mgonjwa bila kutumia kipimo chochote cha kitaalamu halafu anatangaza kuwa huyu mgonjwa ana malaria!

Wataalamu ingieni kazini
So true! Sijui kwanini simple solution kama hii haionekani!
 
Hicho ulichosema sio jambo jipya.. Mnyika alishawahi sema hilo kitambo tu na akaongeza kuwa litengenezwe bwawa kubwa ukanda wa kigamboni mpaka Mkuranga ambalo linatokana na maji ya kuchimbwa ardhini lakini kutokana na uchizi na kichwa vigumu vya ccm wakapuuza
 
Hongera mtoa Hoja hii,binafsi ndio hoja yako ya kwanza kuileta humu ambayo ulishirikisha ubongo wako ,keep it up hii ni nchi yetu wote na tofauti zetu za kiitikadi tuziweke pembeni wakati wa kujadili mambo yanayoathiri nchi,ILA serikali ya ccm haijaitendea haki hii beautiful country
 
Hongera mtoa Hoja hii,binafsi ndio hoja yako ya kwanza kuileta humu ambayo ulishirikisha ubongo wako ,keep it up hii ni nchi yetu wote na tofauti zetu za kiitikadi tuziweke pembeni wakati wa kujadili mambo yanayoathiri nchi,ILA serikali ya ccm haijaitendea haki hii beautiful country
Tatizo la Tanzania na nchi za kuafrika si vyama vya siasa Waka elimu duni la.Kielimu tumekuwa tukipeleka wasomi kibao kusoma nchi Zilizoendelea kwa scholarship na kusomesha wenyewe best colleges wanakisoma hao mababe wa dunia

Lakini wakirudi yanawaza tu yatapata Nini?

Wenzetu Ulaya na Marekani wanapenda reputation zaidi kuwa yule kagundua hiki mpigieni makofi

Sisi huku kila mtu awe CCM au upinzani hata awe mtaalamu vipi anataka madaraka afisadi au ubunge .Proffession anatupilia mbali in exchange of money !!!!
Anakwambia Mimi siwezi kula reputation I need money!!!

Wenzetu huko walishavuka money only sio kichocheo Cha wao ku perform more

Billy Gates Ni Bilionea pesa alizonazo aweza kula yeye na familia yake bila kufanya kazi yeyote kwa miaka 1000.lakini kwa siku hulala masaa manne tu anachapa kazi na kugundua new products za Microsoft .Angekuwa Mswahili angesema Mungu anipe Nini haka napumzika nitumbue maisha

Umaskini mbaya Sana proffessional s Wana compromise Proffession kwa vipande vya fedha Kama Yuda Iscariote kwenye Biblia
 
Waambie watu wayaondoe haya majizi ya CCM. inaenda kuazimisha miaka 60 haina maji ya uhakika,wakati mito na maziwa kila kona
 
Tanzania ibahatika kuwa na maji mengi Sana Kuna yaliyo chini ya ardhi ambayo wengi huchimba visima

Lakini pia chini ya ardhi Kuna maeneo Yana maziwa makubwa yenye maji ambayo hutuama kwenye miamba aridhini.Mvua zikinyesha maji hutuama huko chini na kuweka reserve kubwa ya Maji ambazo hajijaguswa

Pia Kuna mito mikubwa sana mingi chini ya Ardhi ambayo huwa na chemichemi zake za ndani kwa ndani aridhini hutiririka bure na kwenda kumwaga maji baharini chini ya ardhi

Mfano Mbeya pale Igurusi kuna mto mkubwa unapita pale chini ya ardhi ambao maji yake huenda kuyamwaga baharini Cape Town Africa ya kusini

Kuna maeneo mengine kama rufiji pia kuna jito kubwa sana chini ya ardhi

Maeneo kama posta Mpya Dar es Salaam chini kuna mto pia iko mingi nchi nzima

Wataalamu wetu wa Hydrolojia na wataalamu wa geolojia waweza saidia hii nchi kwenye Hilo badala ya kuachia wanasiasa wanaoenda tu kukodolea macho mito na kusema ohhh hakuna maji ukame mtupu.

Ohhh Wananchi jiandaeni kwa mgao wa majii. Ni kama mwanasiasa kumkodolea tu macho mgonjwa bila kutumia kipimo chochote cha kitaalamu halafu anatangaza kuwa huyu mgonjwa ana malaria!

Wataalamu ingieni kazini
Unayosema yanahitaji uthibitisho wa kisayansi.
Kuna wakati wanasiasa walisema kuna jito kubwa sana Dodoma linapita chini kwenda baharini.
Sasa watu wameongezeka Dodoma maji ni utata mtupu.

Suluhisho ni kuleta maji toka Ziwa Victoria, Ziwa Tanganyika na hata Nyasa.
 
Unayosema yanahitaji uthibitisho wa kisayansi.wa
Kuna wakati wanasiasa walisema kuna jito kubwa sana Dodoma linapita chini kwenda baharini.
Sasa watu wameongezeka Dodoma maji ni utata mtupu.

Suluhisho ni kuleta maji toka Ziwa Victoria, Ziwa Tanganyika na hata Nyasa.
Wanasayansi wapo kibao

Israel walishawahi sema wanataka kuwekeza mkoa wa Dodoma Kilimo.cha umwagiliaji kuwa Kuna maji mengi aridhini

Tatizo wanasiasa wetu wengi wa CCM na upinzani wamesoma masomo.ya porojo ya Sanaa ya kuchonga mdomo Sanaa
Ndio maana mwanasayansi Magufuli aliposhika nchi kulikuwa na changes kubwa sababu sayansi inahitaji results Zaidi sio porojo

Always unatafuta value inayo miss mfano 1+x=8 je x Ni ngapi?

Kuna ukame watu Wanahitaji kifanyike Nini ili wapate maji? Hiyo ndio Value of X mwanasayansi anatakiwa atafute solution.Lakini Hawa wa Arts atakwambia tu kirahisi solution Ni mgao wa maji tu!! Mito inekauka.Na anajiona katoa bonge la solution!!!
 
Ushauri mzuri Sana huu na bahati nzuri Tanzania kweli tuna underground water Kama unavyosema ofisi za mabonde ya maji toeni night hizo vijana tupige kazi..
 
Wanasayansi wapo kibao

Israel walishawahi sema wanataka kuwekeza mkoa wa Dodoma Kilimo.cha umwagiliaji kuwa Kuna maji mengi aridhini

Tatizo wanasiasa wetu wengi wa CCM na upinzani wamesoma masomo.ya porojo ya Sanaa ya kuchonga mdomo Sanaa
Ndio maana mwanasayansi Magufuli aliposhika nchi kulikuwa na changes kubwa sababu sayansi inahitaji results Zaidi sio porojo

Always unatafuta value inayo miss mfano 1+x=8 je x Ni ngapi?

Kuna ukame watu Wanahitaji kifanyike Nini ili wapate maji? Hiyo ndio Value of X mwanasayansi anatakiwa atafute solution.Lakini Hawa wa Arts atakwambia tu kirahisi solution Ni mgao wa maji tu!! Mito inekauka.Na anajiona katoa bonge la solution!!!
Magufuli or no Magufuli, Dodoma kuna uhaba wa maji.
Wawepo au wasipwepo wa Israeli.
 
Mkuu haya matatizo kuna wachache wananufaika sn wanapiga pesa kupitia huu ukame, kufanya sijui tafiti, vikao, safari, kukodi mitambo n.k Hii ni neema kwa watawala mkuu
 
ANZA KWA KUONESHA MFANO WA BAADHI YA MAENEO YENYE MAZIWA CHINI YA ARDHI

Sio kila ardhi ina maziwa au mito ya chini kwa chini, tafuta hela mkuu chama kimerudi kwa wenyewe
we ni pimbi kweli mbona sehemu amezitaja
 
Wanasayansi wapo kibao

Israel walishawahi sema wanataka kuwekeza mkoa wa Dodoma Kilimo.cha umwagiliaji kuwa Kuna maji mengi aridhini

Tatizo wanasiasa wetu wengi wa CCM na upinzani wamesoma masomo.ya porojo ya Sanaa ya kuchonga mdomo Sanaa
Ndio maana mwanasayansi Magufuli aliposhika nchi kulikuwa na changes kubwa sababu sayansi inahitaji results Zaidi sio porojo

Always unatafuta value inayo miss mfano 1+x=8 je x Ni ngapi?

Kuna ukame watu Wanahitaji kifanyike Nini ili wapate maji? Hiyo ndio Value of X mwanasayansi anatakiwa atafute solution.Lakini Hawa wa Arts atakwambia tu kirahisi solution Ni mgao wa maji tu!! Mito inekauka.Na anajiona katoa bonge la solution!!!
Mkuu hii nchi ni kupiga pesa matatizo ya wananchi ni fursa kubwa sn
 
Unayosema yanahitaji uthibitisho wa kisayansi.
Kuna wakati wanasiasa walisema kuna jito kubwa sana Dodoma linapita chini kwenda baharini.
Sasa watu wameongezeka Dodoma maji ni utata mtupu.

Suluhisho ni kuleta maji toka Ziwa Victoria, Ziwa Tanganyika na hata Nyasa.
Ziwa Victoria litasambaa nchi nzima?
 
Back
Top Bottom