Wizara ya Madini na Tume ya Madini inatumia sheria na kanuni zipi kukusanya mrabaha wa mawe na kuyapiga mnada?

Mkakombinga

Member
Jul 5, 2021
29
96
Ukisoma sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake sehem ya VI isemayo ROYALTIES FEES AND OTHER CHARGE. kifungu cha 87(1) inasisitiza royalty ya 6percentum kwenye dhahabu na madini mengine km yalivyoainishwa japo mengine kiwango chake kiko chini ya 6percentum.

Kumezoeleka katika nchi hii pale panapofumuka madini kwa maana ya RUSH wizara ya madini inakusanya 10% ya mawe yanayozaniwa ni yadhahabu nakuyapiga mnada , lakini baada ya mawe aliyobakishiwa mchimbaji kuchenjuliwa dhahabu wanafuata tena inapouzwa toka ktk mawe kodi ya 6percentum

Haitoshi wanachukua kodi nyingi zikiwemo za ukaguzi ambazo na service ravy ya halmashauri husika.

Swali langu nikwamba Nisheria au kanuni ipi inawapa mamraka tume ya madini kusimamia RUSH badara ya kuzirasimisha nakutoa leseni ili wakusanye kodi kwa mujibu wa sheria?

Huu upigaji wa mawe mnada uko kisheria?

Naomba msaada kwa wajuvi wa sheria.

Ni hivi mkuu
Ili usikatwe mrahaba wa mbale za dhahabu au kwa maana nyingine mfuko wa dhahabu lazima mwalo wako uwe eneo la leseni yako au rush.

Sasa kunapokuwa na rush ina maana mifuko inatoka inaenda kwenye mialo tofauti hvyo serikali inashindwa kumonitor royalty ya rush inabidi wakate mifuko ya dhahabu ndo iwe tozo ya rush...sijui nmeeleweka mkuu
 
Ni hivi mkuu
Ili usikatwe mrahaba wa mbale za dhahabu au kwa maana nyingine mfuko wa dhahabu lazima mwalo wako uwe eneo la leseni yako au rush.

Sasa kunapokuwa na rush ina maana mifuko inatoka inaenda kwenye mialo tofauti hvyo serikali inashindwa kumonitor royalty ya rush inabidi wakate mifuko ya dhahabu ndo iwe tozo ya rush...sijui nmeeleweka mkuu
 
Ni hivi mkuu
Ili usikatwe mrahaba wa mbale za dhahabu au kwa maana nyingine mfuko wa dhahabu lazima mwalo wako uwe eneo la leseni yako au rush...sasa kunapokuwa na rush ina maana mifuko inatoka inaenda kwenye mialo tofauti hvyo serikali inashindwa kumonitor royalty ya rush inabidi wakate mifuko ya dhahabu ndo iwe tozo ya rush...sijui nmeeleweka mkuu
Kwa sheria ipi, wakati tumekuwekea hapo sheria? Hatuhitaji hisia kwani ww hujui uchenjuaji wa mwisho unafanyikia rugeni? Nahapo unakutana na maafsa wao? Tunahitaji sheria sheria kusaidiwa ili tujue.
 
Kwa sheria ipi, wakati tumekuwekea hapo sheria? Hatuhitaji hisia kwani ww hujui uchenjuaji wa mwisho unafanyikia rugeni? Nahapo unakutana na maafsa wao? Tunahitaji sheria sheria kusaidiwa ili tujue.
Hakuna sheria ya kukatwa 10% kama unafanyiwa hvyo ni vyema uende ofisi ya madini mkazi ukalalamike hilo,sheria ni 6% royalty + 1% inspection,elewa kila rush kabla ya kupewa leseni inatakiwa kukusanya royalties kupitia mbale za dhahabu ,sjui ni kifungu kipi ila kifungu cha mbale za dhahabu kpo ,kama ni mchimbaji mzoefu hili unalielewa mkuu
 
Kwa sheria ipi, wakati tumekuwekea hapo sheria? Hatuhitaji hisia kwani ww hujui uchenjuaji wa mwisho unafanyikia rugeni? Nahapo unakutana na maafsa wao? Tunahitaji sheria sheria kusaidiwa ili tujue.
Alafu kila dhahabu lazima itolewe royalty kuanzia ya mwalon hadi ya elution
 
Alafu kila dhahabu lazima itolewe royalty kuanzia ya mwalon hadi ya elution
Kifupi uko sawa kwamba kila dhahabu ilipiwe royalty na dhahabu ya mwaloni inalipiwa huko huko soko la madini .

Nauliza 10% ya mawe ghafi yanayochukuliwa na watu wamadini nakuyapiga mnada kwa kisingizio cha rush. Hiyo ndo nataka kujua usikalili.
 
Kifupi uko sawa kwamba kila dhahabu ilipiwe royalty na dhahabu ya mwaloni inalipiwa huko huko soko la madini .

Nauliza 10% ya mawe ghafi yanayochukuliwa na watu wamadini nakuyapiga mnada kwa kisingizio cha rush. Hiyo ndo nataka kujua usikalili.
Na nishakwambia mkuu syo 10% wanatakiwa kuchukua 7% tu ,kwenye mifuko 100 wanachukua 7 baada ya hapo rush/leseni inachukua percent yao
 
Na nishakwambia mkuu syo 10% wanatakiwa kuchukua 7% tu ,kwenye mifuko 100 wanachukua 7 baada ya hapo rush/leseni inachukua percent yao
Kwakutumia sheria ipi. Maana hata hyo 7% wanayoichukua bado yale mawe tena nikichenjua mwaloni wanachukua.

Tatizo hapa nikuchukua mawe nakuyapiga mnada kwa kisingizio cha royalty. Hii nchi inaongozwa kwa sheria na kanuni. Sasa ni sheria ipi na kanuni ipi?

Kifupi tatizo lipo hapa
1.unachimba mawe wanachukua mifuko kuuza kama mrabaha.
2. Ukipembua mwaloni wanachukua kama mrabaha
3.ukienda rujen wanachukua mrabaha.

Je, kama ni royalty ya dhahabu kwanini wasiichukue kwenye dhahabu pekee? Kuanzia mwaloni mpaka rujeni?

Tatizo nimawe, hii imekaaje? Huoni kwenye mawe niwizi?
 
Back
Top Bottom