Hii Wizara ya kazi na Ajira haina faida yoyote kwa Watanzania.
Kwanza walitangaza mishahara ya sekta binafsi, wakashindwa kuisimamia. Mambo ni siasa siasa tu hamna lolote.
Pili, Kazi za serikali hutangazwa na Ofisi ya Rais menejiment ya Utumishi wa Umma.
Tatu, haina msaada wowote kwa vijana wa Tanzania wanaohangaika na kutafuta ajira.
Je faida yake ni nini hii Wizara,
Nashauri hii wizara ingeunganishwa na Ofisi ya raisi menejiment ya utumishi wa Umma. Kwa hiyo ingekuwa kama moja ya Kurugenzi ikiwa na Mkurugenzi wake.
Kwanza walitangaza mishahara ya sekta binafsi, wakashindwa kuisimamia. Mambo ni siasa siasa tu hamna lolote.
Pili, Kazi za serikali hutangazwa na Ofisi ya Rais menejiment ya Utumishi wa Umma.
Tatu, haina msaada wowote kwa vijana wa Tanzania wanaohangaika na kutafuta ajira.
Je faida yake ni nini hii Wizara,
Nashauri hii wizara ingeunganishwa na Ofisi ya raisi menejiment ya utumishi wa Umma. Kwa hiyo ingekuwa kama moja ya Kurugenzi ikiwa na Mkurugenzi wake.