Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,140
- 4,189
Wizara ya habari na utamaduni kwa kushirikiana na TFF kupitia Bodi ya ligi Tanzania wanatakiwa kujipima kwamba bado wanastahili kusimamia michezo hasa Mpira kwa kipindi hiki na kuendelea?
Weledi wao umeonekana bado haukidhi mahitaji ya kuendeleza michezo hasa soka kwa kutokuwa na Nia njema kuhusu Mpira wa Leo jumamosi Mei 8 2021 kwenye mchezo naona ya Simba dhidi ya yanga.
Kwann wizara inahusika sababu iliwapa maelekezo TFF ya kusogezwa mbele muda mtanange huo bila kutafakari vizuri kanuni za Mpira.
Kwann TFF waweshindwa kuwaeleza vizuri kwa kuzingatia kanuni kuwa Hilo Jambo haliwezekani na wao wakapeleka ujumbe bodi ya ligi?
Bodi Kama bodi Ni watu yaan kamati hii kamati ilikaa muda gani na muhtasari wao upo wapi? Je walifikiria nn wakati kanuni na Sher zinazowaongoza wanazo na wameshindwa kuzitumia?
Je bodi ya ligi iliwaita viongozi wa klabu zote mbili na kukubaliana dhidi ya muda huo wa dharura wa mabadiliko ya Mpira?
Je vilabu vyote viliafikiana kuhusu badiliko Hilo?
Mie naona kuanzia wizara, TFF na Bodi yaligi na wale viongozi wasimba wote mang'ana wotee wameshindwa kusimamia vizuri michezo hivyo hawastahili kuwepo.
Weledi wao umeonekana bado haukidhi mahitaji ya kuendeleza michezo hasa soka kwa kutokuwa na Nia njema kuhusu Mpira wa Leo jumamosi Mei 8 2021 kwenye mchezo naona ya Simba dhidi ya yanga.
Kwann wizara inahusika sababu iliwapa maelekezo TFF ya kusogezwa mbele muda mtanange huo bila kutafakari vizuri kanuni za Mpira.
Kwann TFF waweshindwa kuwaeleza vizuri kwa kuzingatia kanuni kuwa Hilo Jambo haliwezekani na wao wakapeleka ujumbe bodi ya ligi?
Bodi Kama bodi Ni watu yaan kamati hii kamati ilikaa muda gani na muhtasari wao upo wapi? Je walifikiria nn wakati kanuni na Sher zinazowaongoza wanazo na wameshindwa kuzitumia?
Je bodi ya ligi iliwaita viongozi wa klabu zote mbili na kukubaliana dhidi ya muda huo wa dharura wa mabadiliko ya Mpira?
Je vilabu vyote viliafikiana kuhusu badiliko Hilo?
Mie naona kuanzia wizara, TFF na Bodi yaligi na wale viongozi wasimba wote mang'ana wotee wameshindwa kusimamia vizuri michezo hivyo hawastahili kuwepo.