Kwa mujibu wa tangazo lililotoka kwenye kwenye gazeti la leo la the Guardian la leo, Wizara ya fedha imetenga fedha kwa ajili ya kununua laptop 220, printers 110, photocopier 9 TV flat screen 40 photocopier 9 na fax 13, server 1 n.k kwa ajili ya mkutano wa mwaka wa African development Bank. Swali langu ni je ni kweli mkutano wa siku 3 unahitaji investment kubwa naona hii? Naamini wajumbe wote wa mkutano wana laptops zao, hawawezi kuambiwa kila mshiriki aje na laptop kama ni lazima huo mkutano unahitaji washiriki kuwa na Laptops? Halikadhalika waandaaji ambao ni maafisa nao wana computer zao, je hawawezi kutumia vifaa vyao walivyonavyo katika kuandaa mkutano huu.