Ntate Mogolo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 403
- 677
Mheshiwa Magufuli nimekuelewa! "Shule za msingi na sekondari, si shule za wazazi"
Hii itasaidia kuwafanya watoto wetu wa kike kutafakari kabla ya kujiingiza na kujihusisha na mahusiano yatakayopelekea kupata ujauzito.
Mheshimiwa Rais, sisi ambao tumekuwa na umri mkubwa kidogo kuelekea utu uzima sasa, tunakumbuka sana katika shule zetu za wakati huo, zote msingi na sekondari, kulikuwa na utaratibu wa kila mwezi ambapo watoto wakike walipelekwa kufanyiwa vipimo vya ujauzito.
Naona kama utaratibu huu umepuuzwa, au hautiliwi maanani! Hebu sasa mkumbushe waziri wako wa elimu arudishe huo utaratibu. Hii itasaidia kudhibiti mimba mashuleni.
Wanajamvi, ninawasilisha hoja.
Hii itasaidia kuwafanya watoto wetu wa kike kutafakari kabla ya kujiingiza na kujihusisha na mahusiano yatakayopelekea kupata ujauzito.
Mheshimiwa Rais, sisi ambao tumekuwa na umri mkubwa kidogo kuelekea utu uzima sasa, tunakumbuka sana katika shule zetu za wakati huo, zote msingi na sekondari, kulikuwa na utaratibu wa kila mwezi ambapo watoto wakike walipelekwa kufanyiwa vipimo vya ujauzito.
Naona kama utaratibu huu umepuuzwa, au hautiliwi maanani! Hebu sasa mkumbushe waziri wako wa elimu arudishe huo utaratibu. Hii itasaidia kudhibiti mimba mashuleni.
Wanajamvi, ninawasilisha hoja.