okiwira
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,787
- 2,853
Swala hili lipo Mbeya Rungwe Kiwira kata ya Ikuti katika shule ya msingi ikuti.
Wazazi wote ambao watoto wao wameingia darasa la kwanza mwaka huu ni lazima wapeleke tsh15000 la sivyo watoto wao watarudishwa chekechea.
Mwalimu mkuu na waliounda utaratibu huu mpya kwa walio wengi wanadai pesa hiyo ni kwa ajili ya cheti cha kuzaliwa.
Wanadai vile walivyopewa bure mahospitalini ni kwa ajili ya watoto wenye chini ya miaka mitano.
JE MH.RAISI JPM NA WIZARA HUSIKA MMEBARIKI KAZI AU TUNAIBIWA?
Wazazi wote ambao watoto wao wameingia darasa la kwanza mwaka huu ni lazima wapeleke tsh15000 la sivyo watoto wao watarudishwa chekechea.
Mwalimu mkuu na waliounda utaratibu huu mpya kwa walio wengi wanadai pesa hiyo ni kwa ajili ya cheti cha kuzaliwa.
Wanadai vile walivyopewa bure mahospitalini ni kwa ajili ya watoto wenye chini ya miaka mitano.
JE MH.RAISI JPM NA WIZARA HUSIKA MMEBARIKI KAZI AU TUNAIBIWA?