Wizara ya elimu mmeshindwa kutangaza matokeo ya NECTA kidato cha pili 2016?

MP CHACHANDU

JF-Expert Member
Dec 4, 2016
875
615
Ukweli hii wizara imejaa ubabaishaji mwingi shule zimefunguliwa lakini matokeo ya kidato cha pili hayajatoka sijui hawa wanafunzi wanaingia kidato cha tatu bila kujua matokeo yao huu ni ubabaishaji na kuchezea elimu yetu.
 
Mwaka 2008 nilikua naingia 4m3 ,tokeo la 4m2 lilikuja mwezi February toka kipindi icho sijawahi ona tokeo la 4m2 lilitoka before shule kufumgua or week ya awali
Nadhani ni mapema mno kulaumu japo una mantiki
 
wako wanawaongezea marks. siunajua wamegoma kuajiri walimu kwa miaka miwili sasa, na hali kwenye shule zetu ni mbaya sana
 
Mchujo hakuna,ule unaitwa assesment sio examination,yaani form two national assesment,kwa hiyo hakuna mchujo,wafeli wafaulu,wote watakwenda form three.
 
Mchujo hakuna,ule unaitwa assesment sio examination,yaani form two national assesment,kwa hiyo hakuna mchujo,wafeli wafaulu,wote watakwenda form three.
Kawapotoshe form two wenzio msio na uhakika wa kufaulu....Hakuna waraka hadi sasa wa kuelekeza hayo kwahyo kama usipofikisha wastani KWAHERI....kama ulikuwa umekariri mwaka Jana na utafeli tens basi KWAHERI...
Hiyo ndo taarifa rasmi nyingine ni blah blah.
.na serikali haifanyi kazi kwa mdomo bila nyaraka
 
Sasa wizara ya elimu imeshindwa au mbona hueleweki kawaida matokeo ya kidato cha pili hua yanatoka february sasa sielewi unachomaanisha ni nini mambo mengine msipende kulaumu kabla hamjajiridhisha hawajachelewa chochote
 
Kawapotoshe form two wenzio msio na uhakika wa kufaulu....Hakuna waraka hadi sasa wa kuelekeza hayo kwahyo kama usipofikisha wastani KWAHERI....kama ulikuwa umekariri mwaka Jana na utafeli tens basi KWAHERI...
Hiyo ndo taarifa rasmi nyingine ni blah blah.
.na serikali haifanyi kazi kwa mdomo bila nyaraka
labda shule za mission
 
Na hawa ndugu zao wa NACTE hadi sasa hivi matokeo ya ma clinical officer kimya ni wa uongo sana
 
Kawapotoshe form two wenzio msio na uhakika wa kufaulu....Hakuna waraka hadi sasa wa kuelekeza hayo kwahyo kama usipofikisha wastani KWAHERI....kama ulikuwa umekariri mwaka Jana na utafeli tens basi KWAHERI...
Hiyo ndo taarifa rasmi nyingine ni blah blah.
.na serikali haifanyi kazi kwa mdomo bila nyaraka
Hakuna cha kupotosha wala nini mkuu yuko sahihi ile ilikua national assessment hvo watakaopata below the average watasoma remedial class huku wakiwa wanaendelea na kidato cha 3. National examination ni Form 4&6 huko ndo watachujwa.
 
Hakuna cha kupotosha wala nini mkuu yuko sahihi ile ilikua national assessment hvo watakaopata below the average watasoma remedial class huku wakiwa wanaendelea na kidato cha 3. National examination ni Form 4&6 huko ndo watachujwa.
Kwa waraka upi na remedial classes anayelipa hizo gharama ni nani serikali kupitia wizara ya elimu haijaelekeza hivyo....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom