Wizara ya Elimu kutotoa vyeti vya kumaliza elimu ya msingi na sekondari kulikoni?

Rusende

Senior Member
Jul 27, 2016
120
90
Habari za leo wadau wa jamii forum,wanafunzi waliomaliza shule za msingi na sekondari mwaka 2014 hadi 2018 wizara haikutoa vyeti vya kumaliza elimu (leaving certificate),jambo ambalo kwa maoni yangu serikali haikuwatendea haki vijana hao,kwani kuna fursa nyingi wanazikosa kwani barua za mashuleni wanazikataa,ukienda shule ambapo hapo awali walikuwa wanapelekewa maganda na wanatayarishiwa hapo shuleni,kama serikali imeweza kutoa tena kwa wanafunzi 2019,basi iwape vijana hao haki yao ya msingi
 
Habari za leo wadau wa jamii forum,wanafunzi waliomaliza shule za msingi na sekondari mwaka 2014 hadi 2018 wizara haikutoa vyeti vya kumaliza elimu (leaving certificate),jambo ambalo kwa maoni yangu serikali haikuwatendea haki vijana hao,kwani kuna fursa nyingi wanazikosa kwani barua za mashuleni wanazikataa,ukienda shule ambapo hapo awali walikuwa wanapelekewa maganda na wanatayarishiwa hapo shuleni,kama serikali imeweza kutoa tena kwa wanafunzi 2019,basi iwape vijana hao haki yao ya msingi
Umeombwa leaving ? Kazini.
 
Wizara ya Elimu siku hizi inahusika kutoa vyeti vya elimu ya msingi? Ninavyoelewa(au zamani) ilikua ni shule yenyewe kwa kushirikiana na Maofisa Eliimu Wilaya. Cheti kinakua na saini ya Mwalimu Mkuu, nadhani na Mwalimu wa darasa(kama sikosei) na Ofisa Elimu Wilaya

Hata kwa Shule za Sokondari, Wizara haiwajibiki na kutoa School Leaving Certificates bali ni shule husika kwa kushirikiana na ofisi za elimu za wilaya/miji/ manispaa au majiji
 
Wizara ya Elimu siku hizi inahusika kutoa vyeti vya elimu ya msingi? Ninavyoelewa(au zamani) ilikua ni shule yenyewe kwa kushirikiana na Maofisa Eliimu Wilaya. Cheti kinakua na saini ya Mwalimu Mkuu, nadhani na Mwalimu wa darasa(kama sikosei) na Ofisa Elimu Wilaya

Hata kwa Shule za Sokondari, Wizara haiwajibiki na kutoa School Leaving Certificates bali ni shule husika kwa kushirikiana na ofisi za elimu za wilaya/miji/ manispaa au majiji
No kweli zakazaka,ila wamesema maganda yanatoka wizarani yakiwa empty,yanapelekwa mashuleni na yanajazwa huko na picha ya muhusika inabandikwa juu na inagongwa muhuri wa shule.ila wizara wanatoa na picha ya mwanafunzi ikiwa imeskaniwa kabisa wameanza 2019,sasa swali langu hawa wa kipindi Hilo 2014-2018 kwanini nao wasiwapatie vyeti vyao kwani ni haki yao?
 
Back
Top Bottom