johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,854
- 141,792
Wafanyabiashara ni watu wajanja wajanja wanaweza kutumia tamko la Rais wa JMT kama fursa ya wao kupandisha bei za bidhaa kienyeti na bila uhalali wowote.
Nashauri Waziri wa Viwanda na Biashara aanze utaratibu wa kutoa bei elekezi kwa bidhaa zote.
Akipata ugumu wowote aende akajifunze kwa waziri wa biashara Zanzibar anaujua vizuri sana utaratibu wa bei elekezi.
Maendeleo hayana vyama!
Nashauri Waziri wa Viwanda na Biashara aanze utaratibu wa kutoa bei elekezi kwa bidhaa zote.
Akipata ugumu wowote aende akajifunze kwa waziri wa biashara Zanzibar anaujua vizuri sana utaratibu wa bei elekezi.
Maendeleo hayana vyama!