Itabidi tuombe washauri wamshauri vema kwa hili la Mh Lukuvi!
Hata kama Lukuvi angebaki hapo, utendaji wake ungebadilika kulingana na bosi alivyo.
Ironically speaking, hata huyo aliyeko sasa anaweza kuwa kama Lukuvi kama bosi akitaka awe hivyo.
Itabidi tuombe washauri wamshauri vema kwa hili la Mh Lukuvi!
Angelina amewekewa punje ya mtama akidonoa tu kamba inafyatuka dogo anapandaSasa hii ni habari mpya. Naibu atam suppress bosi kweli? Hata kama ni nguvu ya baba yake, lkn vingine ni vigumu, làbda kwa vile hapa ni kwa manyani!
Mh! patamu na hatari tupu hapo! It now clicks in my head! There is a lot of sense in this thinking!Angelina amewekewa punje ya mtama akidonoa tu kamba inafyatuka dogo anapanda
Kuna inborn, instinctive characters my dear!Hata kama Lukuvi angebaki hapo, utendaji wake ungebadilika kulingana na bosi alivyo. Ironically speaking, hata huyo aliyeko sasa anaweza kuwa kama Lukuvi kama bosi akitaka awe hivyo.
Huyu nae ni upepo tu, tokea chuo siyo mtu ambaye ni smart kichwani.Mabula ni geresha tu
Waziri mwenye dhamana hapo ni prince riziwani
Mkwele shule wapi na wapi làbda yale ya kwetu na vyuo vyetu....Huyu nae ni upepo tu, tokea chuo siyo mtu ambaye ni smart kichwani.
Kuna inborn, instinctive characters my dear!
Agreed!Hizo unazoita 'instinctive characters' za huyo huyo Lukuvi, zilianza kubadilika toka apate bosi mpya (kabla ya kutumbuliwa). Mwenendo wake kiutendaji haukua wa kasi na viwango kama zamani. Kwa ujumla, utendaji wa viongozi wetu unaathiriwa na falsafa ya kiuongozi na mwenendo wa bosi wao. Do not forget that, my friend.