Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,581
Duh...!. Nimeamini ule msemo wa ukiishi nyumba ya vioo usiwe usitupe mawe.Tunaposema CCM hakuna msafi, tunamaanisha Bwashee! Hata wewe tuletee tu usumbufu, halafu uone tutakavyo fukua makaburi yako ya tangu enzi unasoma shule ya msingi.
P