Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuambia Mpina ni mpumbavuMpumbavu kwako…amehoji maswala ya msingi kwa taifa na sisi watanzania tunahitaji majibu…
Na sisi tunakupuuza maana huna msaada kwa taifa hili na wananchi, umekalia majungu tu….jibu hoja sio kufukua mafile yasiohusika kwenye hoja husika….
Hii habari sio ya Leo bwasheee enzi hizo katibu Mkuu ni Dr. BashiruMnataka kuwafunga midomo kisa wakiwasema Godfather wenu? Au wewe ndo Makamba?
Hii ndio point kubwaUko sahihi, yeye Mpina aonyeshe tu hati za kununua hayo mapori yenye mamiti makubwa.
Mpina alishanda ubunge au alipewa?Mpina na Msukuma ni wapiga deal
Kelele nyingi lakini wapiga deal sanaa kwenda mbele
2025 majimbo yao watafutwe wengine
Tena alifoji miutasari ya Kijiji kwa kuongopa kuwa kuna mkutano wa Kijiji ulikaa na kumpa ardhi wakati haukukaa kumpa ardhi hiyo. Hili jambo lazima lichunguzwe maana amewatia ufukara wanakijiji kiasi wanapigana kugombania ardhi kidogo kwa dhuluma za mpina.Kumsema makamba ni sawa, haina shida. Lakini kama na yeye alipata ardhi hiyo kitapeli lazima asemwe.
Ni jambo jema wakiumbuana wao kwa wao.
Sio kweli huyu alitapeli kwa kufoji miutasari ya Kijiji.Wananchi wanatabia ya kuuza mapori yao ,mengi mamiti makubwa,ukinunua ukisafishwa likapendeza ,unaona wanaanza kuleta pua zao
Hoja ya Mpina ipi? Kupima samaki kea rula au kuchoma nyavu za wavuvi au kupora ardhi ya wanakijiji?
Mpina kachokoza mzinga wa nyuki.Serikali ndio mtetezi wa wanyonge dhidi ya matapeli papa wanaodhulumu wanakijiji ardhi yao, hawa ndio wanazua migogoro mikubwa sana kati ya wananchi, na kati ya serikali na wananchi. Nashauri wizara ya ardhi iunde timu ikachunguze na Kisha ichukue hatua ya kurudisha ardhi hiyo kwa wanakijiji.
Huyu mtu kachukua ardhi yote, wanakijiji hawana akiba ya ardhi kwa matumizi ya baadae. Pia takukuru wachunguze, Kuna viashiria vya rushwa
View attachment 2180552View attachment 2180553View attachment 2180556
Naibu waziri WA ardhi asimamie haki itendeke!!Team makamba watalia sana na mpina anawapiga pini hadi wansikia moto
USSR
Na wala hoja za Mpina zisizuie hoja nyingine dhidi yake, alimradi ni halisia.Hoja za Mpina zijibiwe sio kuanzisha mjadala mpya
Naona wana CCM wenzangu tumeanza kushambuliana kisa tu tunaowapenda wameshambuliwa.Serikali ndio mtetezi wa wanyonge dhidi ya matapeli papa wanaodhulumu wanakijiji ardhi yao, hawa ndio wanazua migogoro mikubwa sana kati ya wananchi, na kati ya serikali na wananchi. Nashauri wizara ya ardhi iunde timu ikachunguze na Kisha ichukue hatua ya kurudisha ardhi hiyo kwa wanakijiji.
Huyu mtu kachukua ardhi yote, wanakijiji hawana akiba ya ardhi kwa matumizi ya baadae. Pia takukuru wachunguze, Kuna viashiria vya rushwa
View attachment 2180552View attachment 2180553View attachment 2180556