Wizara ya Ardhi Badilikeni

Augustine Moshi

JF-Expert Member
Apr 22, 2006
2,554
1,382
Wizara ya Ardhi bado kabisa kubadilika. Nilishinda makao makuu ya wizara jana nikilipia kodi ya kiwanja. It was a daunting task.

Their operations are primitive to the extreme. Nilikaa kwanza kwenye foleni ya kupewa assessment. This ought to be done online, as is done by the TRA when one renews a road license.

Foleni iliyofuatia ni ya kulipa fedha benki. This second step is also doable online, through MPESA or so, as is again done when one pays TRA for a road license.

Kulikuwa na foleni ya tatu. Hii ni kwa ajili ya kuandikiwa risiti ya malipo, kwa mkono. When will this ministry have the courage to automate anything?

There was quite a large crowd of us, in a small and very hot room. I almost melted.

Waziri wa Ardhi anazunguka huku na kule akisema hiki na kile lakini utendaji wizarani kwake ni duni sana. Labda aanzie kunyoosha pale.

We cannot do what we have always done and expect a different result. Each ministry should look at how it does things and ensure that there is constant improvement.

Kwa nini TRA wasikusanye kodi za viwanja? Angalau wao wanafahamu namna ya kukusanya kodi bila kupoteza mamia ya man-hours za walipa kodi. Kama fedha zinatakiwa zifike Ardhi basi TRA watazifikisha huko baada ya kuzikusanya.

Viongozi wa TRA wa miaka ya karibu wanastahili sana pongezi. Wameonyesha ubunifu wa hali ya juu.
 
Tusipowasema hawatabadilika. Jitokezeni tuwaseme ili watoe huduma nzuri.

Au angalau anayefahamu anielimishe ni kwa nini kodi ya viwanja isikusanywe na TRA.
 
Tusipowasema hawatabadilika. Jitokezeni tuwaseme ili watoe huduma nzuri.

Au angalau anayefahamu anielimishe ni kwa nini kodi ya viwanja isikusanywe na TRA.
Wizara ya Ardhi bado kabisa kubadilika. Nilishinda makao makuu ya wizara jana nikilipia kodi ya kiwanja. It was a daunting task.

Their operations are primitive to the extreme. Nilikaa kwanza kwenye foleni ya kupewa assessment. This ought to be done online, as is done by the TRA when one renews a road license.

Foleni iliyofuatia ni ya kulipa fedha benki. This second step is also doable online, through MPESA or so, as is again done when one pays TRA for a road license.

Kulikuwa na foleni ya tatu. Hii ni kwa ajili ya kuandikiwa risiti ya malipo, kwa mkono. When will this ministry have the courage to automate anything?

There was quite a large crowd of us, in a small and very hot room. I almost melted.

Waziri wa Ardhi anazunguka huku na kule akisema hiki na kile lakini utendaji wizarani kwake ni duni sana. Labda aanzie kunyoosha pale.

We cannot do what we have always done and expect a different result. Each ministry should look at how it does things and ensure that there is constant improvement.

Kwa nini TRA wasikusanye kodi za viwanja? Angalau wao wanafahamu namna ya kukusanya kodi bila kupoteza mamia ya man-hours za walipa kodi. Kama fedha zinatakiwa zifike Ardhi basi TRA watazifikisha huko baada ya kuzikusanya.

Viongozi wa TRA wa miaka ya karibu wanastahili sana pongezi. Wameonyesha ubunifu wa hali ya juu.
Pale ardhi ukiwa na deal/issue kwa lugha yao utashughulikiwa mapema sana. Kwa swala halali jiandae kupoteza masiku.
 
Pale ardhi ukiwa na deal/issue kwa lugha yao utashughulikiwa mapema sana. Kwa swala halali jiandae kupoteza masiku.

Kwenye kulipia kiwanja lugha yao itakuwa ipi?

Unaonaje hiyo kodi ikikusanywa na TRA? Tatizo litakwisha kabisa kama TRA wakipewa hiyo kazi.
 
Pia kuna angalau shilingi bilioni 10 ambazo zingeweza kulipwa serikalini kama kodi ya viwanja kila mwaka lakini hilo halifanyiki kwani Wizara ya Ardhi inashindwa kuandikisha viwanja vingi ambavyo havina hata utata wowote.
 
Nidhamu ya utumishi wa umma pale Wizara ya ardhi bado sana tena sana!

Nafuatilia hati pale Kwa zaidi ya miaka 6 Mara file halionekani , Mara kupigwa danadana nenda Manispaa manispaa wanakwambia nenda wizarani!

Lukuvi anajitahidi Ila Watu walio chini Yake hasa maofisa bado sana ! Sijui ni delaying technique ktk kutafuta rushwa ukienda Jumatatu unaambiwa njoo Alhamis kirahisi hiyo ingewezekana Kama tungekuwa jamii nzima iko networked Na hiyo ratiba ikawekwa kwenye website ya wizara kwamba Mtu Kabla ya kwenda wizarani anaangalia ratiba sasa hapa TZ hatujafika huko sijui wameiga nchi za wenzetu
 
Wizara ya Ardhi bado kabisa kubadilika. Nilishinda makao makuu ya wizara jana nikilipia kodi ya kiwanja. It was a daunting task.

Their operations are primitive to the extreme. Nilikaa kwanza kwenye foleni ya kupewa assessment. This ought to be done online, as is done by the TRA when one renews a road license.

Foleni iliyofuatia ni ya kulipa fedha benki. This second step is also doable online, through MPESA or so, as is again done when one pays TRA for a road license.

Kulikuwa na foleni ya tatu. Hii ni kwa ajili ya kuandikiwa risiti ya malipo, kwa mkono. When will this ministry have the courage to automate anything?

There was quite a large crowd of us, in a small and very hot room. I almost melted.

Waziri wa Ardhi anazunguka huku na kule akisema hiki na kile lakini utendaji wizarani kwake ni duni sana. Labda aanzie kunyoosha pale.

We cannot do what we have always done and expect a different result. Each ministry should look at how it does things and ensure that there is constant improvement.

Kwa nini TRA wasikusanye kodi za viwanja? Angalau wao wanafahamu namna ya kukusanya kodi bila kupoteza mamia ya man-hours za walipa kodi. Kama fedha zinatakiwa zifike Ardhi basi TRA watazifikisha huko baada ya kuzikusanya.

Viongozi wa TRA wa miaka ya karibu wanastahili sana pongezi. Wameonyesha ubunifu wa hali ya juu.
Malalamiko haya ni ya muda. Je nini kifanyike?
 
Back
Top Bottom