Hivi wee Magufuli, Wagonjwa wa corona wamepungua au wamepunguzwa? Maambukizi ya Corona yamepungua au mnakwepa kupima? Vifo vimepungua au mnaficha?
Ni dhambi kutaja jina la Mungu kushuhudia uongo tena ukiwa kanisani.
Toeni taarifa za kweli umma ujilinde.
CHADEMA ni ya wananchi sio wanasiasa mamluki.Umeskia ya Lijualikali?
mwisho wa siku utabaki wewe,m/kiti na Lema
Hawa wanaoangamia na corona.
Hata CUF ni ya wanachi lakini ipo wapi?We ni mfuatiliaji wa siasa za vyama vingi toka 1992 au vuta kumbukumbu huko nyuma NCCR na CUF walivyokuwa.Haya Octoba sio mbali ngoja tuone baada ya game 90 minutes.CHADEMA ni ya wananchi sio wanasiasa mamluki.