Wizara ya Afya yakanusha kuwepo kwa virusi vya ugonjwa wa Zika

Yale yale Hakuna upungufu wa dawa...mara kuna upungufu!

Kwani mnajenga mnara wa babeli?
 
Watu wengine ni wachawi balaa
Hapana, sio uchawi, ni kuwa with common sense tunaangalia trend ya serikali hii. Hawezi kupona maana hata Mama Malecela alitumbuliwa kwa kosa si lake maana analetewa taarifa.Na kweli Mwele kafukuzwa kazi.
 
mambo mengine hayatakiwi kupelekwa kisiasa wataalam wamefanya uchunguzi wamesema zika IPO wenyewe wanakanusha tuu kwa mdomo. wafanye research basi
 
Wanachanganya watu,kila mtu anatangaza vingine.Mara watangaz umeingia mwingine anatangaza haupo tyumwamini yupi?!.Kuweni na msimamo bhana msiwatie watu hofu na msiwape matumaini haliya kuwa hamna uhakika.
 
Masikini ametumbuliwa tayari saa tano usiku. Uonevu maana kasema habari kutoka maabara
Serious..?? Hivi hii nchi tunaenda wapi...ni sifa kutumbua hovyo..huyo mkuu amefanya utafiti au yeye ana ujuzi wa afya..
Ngoja sasa watu wapate madhara sijui watakula matapishi yao...
Nnavyoeleewa mtaalam wa afya hatoi majibu mpk amejithibitishia kuwa ni kweli..sasa sidhn km mwele na nimr ni wajinga daah soo sad this country ..
 
Serious..?? Hivi hii nchi tunaenda wapi...ni sifa kutumbua hovyo..huyo mkuu amefanya utafiti au yeye ana ujuzi wa afya..
Ngoja sasa watu wapate madhara sijui watakula matapishi yao...
Nnavyoeleewa mtaalam wa afya hatoi majibu mpk amejithibitishia kuwa ni kweli..sasa sidhn km mwele na nimr ni wajinga daah soo sad this country ..
Cz1Ms2JWIAAVlS7.jpg


Authority ni hii.
 
[HASHTAG]#justiceforLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenakiwahai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#FreeMaxeceMelo[/HASHTAG]
 
Ukweli ni kwamba Zika itakuwa ipo lakini serikali imeogopa itakosa utalii. Vitu kama vile sio vya kukimbilia kwenye vyombo vya kimataifa utawauwa watu njaa. Inatakiwa kunakausha hadi idadi ikianza kuwa tishio.
 
Mi naona hapo wa kuwaamini ni hao NIMR kwani hao ndo wanausika na kufanya utafiti,jamani taaluma za watu hazitakiwi kuchezewa
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom