Wizara ya Afya: Watanzania endeleeni kuchukua tahadhari dhidi ya COVID-19

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,582
6,627
IMG_7851.jpg

IMG_7852.jpg
 
Tamko “linawasihi na kuwasisitiza” watu wajichukilie hatua muhimu wao wenyewe.

Serikali inatamka wazi kwamba kila mtu abebe msalaba wake. Wao hawana mpango wa kuwabana wageni kuja wamepima wala kuongeza PPEs na Ventilators huko hospitalini..
 
Hamjali maisha ya watu kwa kuthamini msimamo wa mtu mmoja, mmeona viongozi wa juu wameanza kufa ndo mnajifanya kutoa tahadhari. Hakuna mwenye akili anayewaamini tena nyie walamba viatu wa Mfalme.

Watu mmesomeshwa kwa kodi za Watanzania lakini mnashindwa kuwaambia watanzania nini cha kufanya kwa wakati sahihi? Ni Sayansi gani mliyosoma iliyowahimiza kutokupima wagonjwa na kuwaacha wananchi wajitibu kwa kubashiri ugonjwa?

Dhambi hii haitawaacha salama Nyang'au nyie.
 
Back
Top Bottom