Kuna Universal Health terms kwa magonjwa ya milipuko kutoka WHO, ukijifanya kwenda kinyume tu wanashughulika na wewe kwa namna yao.bila shaka haya leo ni maagizo mana matamko ya kuhimiza watu kujikinga yameongozana kutoka juu...
Ila ni jambo jema pia ukiona mambo hayaendi unakubali makosa...Kuna Universal Health terms kwa magonjwa ya milipuko kutoka WHO, ukijifanya kwenda kinyume tu wanashughurika na wewe kwa namna yao.
Tulijifanya viburi, sasa tumebanwa kabisa lazima matamko yaongozane.
Na ndicho Serikali wameanza kufanya kwa sasa.ila ni jambo jema pia ukiona mambo hayaendi unakubali makosa...
Hatuna corona thus TAG walitoa tuzo ya ushindi wa CoronaTanzania Kuna korona? Tunaomba takwimu za maambukizi na vifo. Nyambafu!
Anajua Sana kumtaja Mungu,Mungu anamchora tu.Kaibukia wapi leoMwenzao huku anapambana na wanaochukua tahadhari.View attachment 1708038
Mimi niseme tu kwa hili sijamuelewa Mhe.Rais sasa anatuhimiza tuchukue tahadhari au tumuachie Mungu mbona anawasema tena waliovaa barakoa.Ni vita ukikutwa umevaa barakoaView attachment 1708039
Full sarakasiTanzania Kuna korona? Tunaomba takwimu za maambukizi na vifo. Nyambafu!
Maelekezo mengine yanakuja , Tutaelewana tu , ofisi nzima inaugua unadhani mchezo !Ni jambo jema!
Hamjali maisha ya watu kwa kuthamini msimamo wa mtu mmoja, mmeona viongozi wa juu wameanza kufa ndo mnajifanya kutoa tahadhari. Hakuna mwenye akili anayewaamini tena nyie walamba viatu wa Mfalme.
Hapo Ufipa ofisi mmefunga!Maelekezo mengine yanakuja , Tutaelewana tu , ofisi nzima inaugua unadhani mchezo !