Gud na mm jumanne naenda kuchanjwa.
Watu wanakataa kwa kuamini vitu visivyokuwepo. Ujinga pia upo. Ni shida sana. Eti anaamini chanjo ni njama za mabeberu kutuangamiza.Bado mwamko ni mdogo sana yani pamoja na kuonekana na kuaminishwa kuwa watanzania wengi wanahitaji chanjo bado hadi leo chanjo million 1 zinatuenyesha namna hiii?
Hivi hizi chanjo hazina muda wa kuharibika? ni za muda gani hadi kuharibika?
Hao wanao hamashisha wanahamasisha nini ikiwa hadi leo hata nusu ya chanjo hatjaifikia?
Ukishachanjwa na hilo jina ubadili, Ujiite J&J sasa hahaGud na mm jumanne naenda kuchanjwa.
Ni wengi au?Duh,laki mbili!.
Usifanye mchezo kuchanja watu laki mbili ndani ya siku 10 wewe jamaa kwa miundo mbinu tuliyonayo!!Bado mwamko ni mdogo sana yani pamoja na kuonekana na kuaminishwa kuwa watanzania wengi wanahitaji chanjo bado hadi leo chanjo million 1 zinatuenyesha namna hiii?
Hivi hizi chanjo hazina muda wa kuharibika? ni za muda gani hadi kuharibika?
Hao wanao hamashisha wanahamasisha nini ikiwa hadi leo hata nusu ya chanjo hatjaifikia?
Kitendo cha Steve Nyerere kupewa ubalozi wa chanjo hii ndo kinachoepelekea watu kutotilia maanani chanjo! Alikosekana mtu mwenye haiba na ushawishi kuteuliwa balozi wa chanjo?! Ona sasa, watu wanaona chanjo kitu cha hovyo kwa kuwa tuu balozi wake ni mtu wa hovyohovyoHatujafika robo ya chanjo zilizoletwa.
Akina Steve Nyerere waongeze uhamasishaji!
Ni kweli kabisa kuna uhitaji wa kutoa taarifa za idadi ya wagonjwa wa COVID-19Hizi taarifa japo serikali wanazitoa niwapongeze lakini bado ziko nusu nusu, hatuambiwi wagonjwa wako wangapi, waliofariki wangapi, waliopona wangapi, serikali inachagua tu zile taarifa wanazopenda wao.
... mahali palipotamalaki ujinga ni shida Mkuu! Badala ya kupambana CCM wameamua kulea mama wa wale maadaui wakuu; UJINGA. Penye ujinga uliokithiri ni shida sana no wonder imani za kishirikina na kuamini uzushi kuliko ukweli vimetamalaki kona hii ya dunia.Watu wanakataa kwa kuamini vitu visivyokuwepo. Ujinga pia upo. Ni shida sana. Eti anaamini chanjo ni njama za mabeberu kutuangamiza.