johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Kaimu Katibu mkuu wa wizara ya afya bwana Mbanga amewataka wananchi kutoacha kutumia tiba za asili zinazotambulika katika kukabiliana na Corona kwani zimesaidia wengi.
=========
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Edward Mbaga ametoa wito kwa Watanzania kutoacha njia za asili za kupambana na #COVID19
Amewataka Wananchi waendelee kutumia Nyungu na Dawa za Asili zilizosajiliwa katika kupambana na janga lililopo
Amehimiza Wananchi kuendelea kuhifadhi Miti Dawa katika maeneo yao kwani ndio chachu ya Tiba Asili
Source: ITV habari
=========
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Edward Mbaga ametoa wito kwa Watanzania kutoacha njia za asili za kupambana na #COVID19
Amewataka Wananchi waendelee kutumia Nyungu na Dawa za Asili zilizosajiliwa katika kupambana na janga lililopo
Amehimiza Wananchi kuendelea kuhifadhi Miti Dawa katika maeneo yao kwani ndio chachu ya Tiba Asili
Source: ITV habari