Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Nimepita sehemu nyingi sana za DSM ambazo kuna wachina , mikocheni, Masaki, nakadhalika.
Hawa jamaa wanavaa Mask za kuzuia Corona. And they are very serious Ni Kama wapo Wuhan, sasa wanatuogopesha wananchi wa kawaida.
Je, wizara ya Afyaimeshauri wananchi wote tuvae haya madude? If not Whats the matter? Hawa jam wanatuogopesha sana was create panic.
Hawa jamaa wanavaa Mask za kuzuia Corona. And they are very serious Ni Kama wapo Wuhan, sasa wanatuogopesha wananchi wa kawaida.
Je, wizara ya Afyaimeshauri wananchi wote tuvae haya madude? If not Whats the matter? Hawa jam wanatuogopesha sana was create panic.