Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,442
- 3,353
Uganda imetangaza Wagonjwa 31 wapya wa #COVID19 waliopatikana baada ya sampuli 1,116 kupimwa ndani ya saa 24 zilizopita na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 253
Wagonjwa 23 ni kutoka mipakani ambapo sampuli 896 zilichukuliwa na 8 ni waliopimwa wakiwa Karantini baada ya kukutana na madereva waliotangazwa awali kuwa na #CoronaVirus
Wizara ya Afya Nchini humo imesema katika ya wagonjwa 23 waliopatikana mipakani, 20 ni madereva wa malori ambapo 16 ni Watanzania na wanne ni Wakenya. Wote wamekabidhiwa kwa nchi zao
Aidha, Wizara imebainisha kuwa hadi kufikia sasa jumla ya Wagonjwa 69 wamepona
Wagonjwa 23 ni kutoka mipakani ambapo sampuli 896 zilichukuliwa na 8 ni waliopimwa wakiwa Karantini baada ya kukutana na madereva waliotangazwa awali kuwa na #CoronaVirus
Wizara ya Afya Nchini humo imesema katika ya wagonjwa 23 waliopatikana mipakani, 20 ni madereva wa malori ambapo 16 ni Watanzania na wanne ni Wakenya. Wote wamekabidhiwa kwa nchi zao
Aidha, Wizara imebainisha kuwa hadi kufikia sasa jumla ya Wagonjwa 69 wamepona