WIZARA YA AFYA TUNAOMBA MTUSAIDIE KWA HILI TUMECHOKA

size 96

Senior Member
Aug 31, 2019
135
143
wakuu poleni na majukumu nimeleta uzi huu nikiwa naimani wahusika wapo ambao wanatumia jf
Wilaya ya chunya ni moja ya wilaya kongwe Sana apa nchini lakini chakushangaza hospitali yetu haifanyiwi maboresho yanayo endana na hadhi ya wilaya yetu huduma za hospitali yetu ni mbovu mno wafanyakazi wa hospitali hii wanafanya kazi kwa mazoea Sana serekali yetu ya sasa inasema imeboreeha upatikanaji wa dawa lakini kwa hospitali yetu ni tofauti Sana kwani dawa baadhi tu ndo hupatikana gharama za matibabu zipo juu Sana
Majengo na miundo mbinu hafifu ya hospital
Huduma mbovu zinazo tolewa
Tunaomba watu wanao husika waje kutatua kero za wanannchi wa chunya
 
Utakuwa umetumwa na mabeberu

Usihofu jiwe atapita wilayani kwenu kila kitu kitakuwa safi
 
ndugu yangu ikiwa huku dar wizara tunayo huku huku na rais tunae hapa hapa lakin huduma kwenye hospitali za serikali ni majanga sasa unazani mikoani kuna hali gani
 
Kama mazingira ya kaz ni mabovu unataka hao wafanyakaz wafanyej? Kama dawa hakuna watoe hela mfukoni wakununulieni dawa? Gharama za matibabu zimepangwa na Serikali hakuna hospital inayojipangia gharama.. Lia na awamu ya tano!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom