beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema katika kipindi cha Julai 2021 - Machi 2022, kumekuwa na ongezeko la watu wanaolazwa kutokana na Magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo Kisukari, Shinikizo la Damu na Saratani
Akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara kwa Mwaka 2022/23 Bungeni, ametoa Wito kwa Wananchi kufanya mazoezi, kuzingatia ulaji wa Vyakula unaofaa na kufanya Vipimo vya Afya mara kwa mara
Aidha, Wizara ya Afya imeomba Bunge kuidhinisha Bajeti ya Trilioni 1.109 kwa Mwaka 2022/23
Akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara kwa Mwaka 2022/23 Bungeni, ametoa Wito kwa Wananchi kufanya mazoezi, kuzingatia ulaji wa Vyakula unaofaa na kufanya Vipimo vya Afya mara kwa mara
Aidha, Wizara ya Afya imeomba Bunge kuidhinisha Bajeti ya Trilioni 1.109 kwa Mwaka 2022/23