Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,938
- 25,281
Serikali kupitia Wizara ya Afya, imetoa wito kwa wananchi kuendeleza tabia ya unawaji mikono katika maeneo mbalimbali ya shughuli ili kupunguza uwezekano wa kupata magonjwa ya kuambukiza kama kipindupindu, kuhara damu na minyoo.
Wito huo umetolewa na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi.
Source: https://twitter.com/wizara_afyatz