Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,036
- 3,929
TANGAZO LA KUITWA KAZINI
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR – TAMISEMI) kwa inapenda kuwataarifu Madaktari walioomba kazi kuanzia tarehe 25/07/2017 hadi tarehe 30/08/2017 kuwa mchakato wa kuwapangia vituo vya kazi umekamilika ikiwa ujazaji wa nafasi mbadala za Madaktari ambao hawakuripoti katika vituo vyao vya kazi.
Kwa orodha ya majina waliolitwa kazini, Bofya=> HAPA