- Thread starter
- #41
Ule Arumeru watu walikuwa na miguu iliyopinda sababu maji yao mengi hayakuwa na hiyo floride... na hata meno yao yakawa na rangi ya hahawia
Wewe kapitie upya maana nimeeleza ikiwezekana maji kama yanakiwango kikubwa cha flouride basi ipunguzwe maana haitakiwi kwa kiwango kikubwa sasa sijui umetoa wapi ripoti yako wewe mkuu