Rwetembula Hassan Jumah
Senior Member
- Jan 25, 2023
- 140
- 188
Wizara ya Afya jaribu kujitafakari... tumeletwa Duniani ili tuijaze Dunia, haya masuala ya uzazi wa Mpango unatoka wapi?
Kila siku wanawake wanalalamika wanaume hawana mbegu za kiume kumbe wanawake nao wako na matatizo yao kuhusu haya mavidoge mara sindano.
Mwanamke anameza vidoge ili hasibebe mimba kwa sababu gani kama sio malaya kahaba? Jamii maadili mabovu kila mwanamke anawaza kumilik gari kali nyumba nzuri anataka awe mtu fulan kwa hali yeyote.
We unamuawa mtoto je wewe mama ako angefanya hivo we leo ungetokea, wadada jirekebisheni hii tabia sio . Sasa hivi mnaenda kuzaa watoto machoko kwa sababu ya madawa hayo mnayokula kila siku kama chakula.
... Yangu ni hayo tu.
Kila siku wanawake wanalalamika wanaume hawana mbegu za kiume kumbe wanawake nao wako na matatizo yao kuhusu haya mavidoge mara sindano.
Mwanamke anameza vidoge ili hasibebe mimba kwa sababu gani kama sio malaya kahaba? Jamii maadili mabovu kila mwanamke anawaza kumilik gari kali nyumba nzuri anataka awe mtu fulan kwa hali yeyote.
We unamuawa mtoto je wewe mama ako angefanya hivo we leo ungetokea, wadada jirekebisheni hii tabia sio . Sasa hivi mnaenda kuzaa watoto machoko kwa sababu ya madawa hayo mnayokula kila siku kama chakula.
... Yangu ni hayo tu.