jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Ni muhimu kwa wizara ya afya kutoa muongozo rasmi wa namna gani wataalamu wetu wa afya na vituo vya huduma za afya nchini vinaweza kutumia tiba asili katika kuwahudumia wagonjwa.
muongozo huu utaondoa sitofahamu mbalimbali za utaratibu wa tiba nchini.Wizara ije na sera na miongozo rasmi kuhusu hili ili kuwajengea uwezo wataalamu wa afya nchini ambao hawajasomea tiba asili kuweza kutumia njia za asili kutibu.
muongozo huu utaondoa sitofahamu mbalimbali za utaratibu wa tiba nchini.Wizara ije na sera na miongozo rasmi kuhusu hili ili kuwajengea uwezo wataalamu wa afya nchini ambao hawajasomea tiba asili kuweza kutumia njia za asili kutibu.