Tunaomba wizara ifanye yafatayo
1. Itoe ratiba nzuri na itoe orodha ya vituo vya kutolea huduma maeneo ya vijijini.
2. Wizara ituambie J&J iliyoingia nchini inamaliza lini mda wake wa matumizi maana sasa ni mda ila taarifa za kuwa lini chanjo hiyo itamaliza mda wa matumizi haijatolewa.
3. Taarifa ya chanjo zilizobaki itolewe na waziri.
4. Itoe taarifa ya mwenendo wa Corona.
5. Mkopo wa serkali wa kusaidia athari za Corona utolewe maelezo kwa wananchi.
1. Itoe ratiba nzuri na itoe orodha ya vituo vya kutolea huduma maeneo ya vijijini.
2. Wizara ituambie J&J iliyoingia nchini inamaliza lini mda wake wa matumizi maana sasa ni mda ila taarifa za kuwa lini chanjo hiyo itamaliza mda wa matumizi haijatolewa.
3. Taarifa ya chanjo zilizobaki itolewe na waziri.
4. Itoe taarifa ya mwenendo wa Corona.
5. Mkopo wa serkali wa kusaidia athari za Corona utolewe maelezo kwa wananchi.