nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,608
- 4,091
Naandika haya kwasababu imekuwa kama uongozi wa wizara hauyaoni. Angalia Mifano ifuatayo
1. Kuna Wizara ambayo kwa sasa inasimamia Hospitali za rufaa za kanda, hospitali za rufaa za mikoa na hospitali ya Taifa Muhimbili. Lakini pia kuna TAMISEMI ambayo husimamia hospitali zote za Wilaya na vituo vyote vya afya na zahanati.
2. Pia kuna team za uongozi/usimamizi wa huduma za Afya Mkoa (RHMT) na Wilaya au halmashauri (CHMT) na kuna uongozi wa Hospitali (HMT)
Changamoto inakuja kuwa hivi
Kwenye team za usimamizi wa afya mkoa/wilaya hapo ndio kuna changamoto kubwa sana
-Utakuta Mratibu wa Shughuli fulani mfano labda 'Malaria, Ukimwi, Kifua kikuu' mkoa ana advanced diploma (AMO), au chini ya hapo
-Pia utakuta msimamizi wa kitengo mkoa kama vile Maabara (RLT), Pharmacy (RPharm), Nursing (RNO), RSWO, RHO na wengine wana elimu ndogo kama vile diploma.
-Then unaenda kwenye halmashauri ambazo kimsingi zinatakiwa zisimamiwe na Team ya mkoa wana elimu kubwa sana, wengine unakuta wana BSc, MSc n.k
Linapokuja suala la Usimamizi shirikishi aliyepo mkoani anatakiwa aende wilayani akampe ujuzi huyo aliyeko wilayani, hapo ndio kizaazaa kinapokuja.
1. Utampaje technique aliyekuzidi elimu na ujuzi?
2. Mara nyingine unakuta mratibu wa malaria ni afisa afya anaenda kumsimamia vipi huduma za malaria mtaalam either clinician au Laboratory scientists aliyepo wilayani.
3. Au aliyepo wilayani anaenda kum-supervise aliyepo kituoni mwenye professional yake. Yaani hizo team zimeundwa kimagumashi tuuuu na majungu majungu tuuuuu
Mfano aliyepo mkoani atapiga majungu ili aliyepo wilayani abaki hivyo hivyo na aonekane hafai kabisa lakini anapoenda kwenye usimamizi anamkwepa maana anakuwa anajua hawezi kum-supervise.
Ujinga...
Wizara na TAMISEMI wote hawalioni hili, bali wanabaki kujadili kuwa wizara na TAMISEMI kwa ujumla kuna mafunzo mengi lakini matokeo ni kidogo sana tofauti na resources na juhudi zilizowekwa ili kuboresha huduma.
Kifupi ni kwamba SEMINA NA MAFUNZO wanapatiwa watu wasiosahihi.
Kila mtaalamu afanye kwa level yake hapo ndipo mtakapoona mabadiliko la sivyo, tutaendelea kubaki nyuma tu.
Inatia hasira sana yaani mtu amesoma mazingira alafu anakuja kumfundisha au kumsimamia mtaalam wa diagnosis kufanya diagnosis very shame.
Alafu serikali wanasema wanataka mabadiliko chanya haitawezekana
Fanyeni reform angalieni huyu yupo hapo je hakuna watu wenye fani husika au wenye ujuzi mkubwa??????
Huu uzi usiunganishwe naomba nipate mawazo tofauti inawezekana ni mawazo yangu potofu labda wizara inamalengo yake.
1. Kuna Wizara ambayo kwa sasa inasimamia Hospitali za rufaa za kanda, hospitali za rufaa za mikoa na hospitali ya Taifa Muhimbili. Lakini pia kuna TAMISEMI ambayo husimamia hospitali zote za Wilaya na vituo vyote vya afya na zahanati.
2. Pia kuna team za uongozi/usimamizi wa huduma za Afya Mkoa (RHMT) na Wilaya au halmashauri (CHMT) na kuna uongozi wa Hospitali (HMT)
Changamoto inakuja kuwa hivi
Kwenye team za usimamizi wa afya mkoa/wilaya hapo ndio kuna changamoto kubwa sana
-Utakuta Mratibu wa Shughuli fulani mfano labda 'Malaria, Ukimwi, Kifua kikuu' mkoa ana advanced diploma (AMO), au chini ya hapo
-Pia utakuta msimamizi wa kitengo mkoa kama vile Maabara (RLT), Pharmacy (RPharm), Nursing (RNO), RSWO, RHO na wengine wana elimu ndogo kama vile diploma.
-Then unaenda kwenye halmashauri ambazo kimsingi zinatakiwa zisimamiwe na Team ya mkoa wana elimu kubwa sana, wengine unakuta wana BSc, MSc n.k
Linapokuja suala la Usimamizi shirikishi aliyepo mkoani anatakiwa aende wilayani akampe ujuzi huyo aliyeko wilayani, hapo ndio kizaazaa kinapokuja.
1. Utampaje technique aliyekuzidi elimu na ujuzi?
2. Mara nyingine unakuta mratibu wa malaria ni afisa afya anaenda kumsimamia vipi huduma za malaria mtaalam either clinician au Laboratory scientists aliyepo wilayani.
3. Au aliyepo wilayani anaenda kum-supervise aliyepo kituoni mwenye professional yake. Yaani hizo team zimeundwa kimagumashi tuuuu na majungu majungu tuuuuu
Mfano aliyepo mkoani atapiga majungu ili aliyepo wilayani abaki hivyo hivyo na aonekane hafai kabisa lakini anapoenda kwenye usimamizi anamkwepa maana anakuwa anajua hawezi kum-supervise.
Ujinga...
Wizara na TAMISEMI wote hawalioni hili, bali wanabaki kujadili kuwa wizara na TAMISEMI kwa ujumla kuna mafunzo mengi lakini matokeo ni kidogo sana tofauti na resources na juhudi zilizowekwa ili kuboresha huduma.
Kifupi ni kwamba SEMINA NA MAFUNZO wanapatiwa watu wasiosahihi.
Kila mtaalamu afanye kwa level yake hapo ndipo mtakapoona mabadiliko la sivyo, tutaendelea kubaki nyuma tu.
Inatia hasira sana yaani mtu amesoma mazingira alafu anakuja kumfundisha au kumsimamia mtaalam wa diagnosis kufanya diagnosis very shame.
Alafu serikali wanasema wanataka mabadiliko chanya haitawezekana
Fanyeni reform angalieni huyu yupo hapo je hakuna watu wenye fani husika au wenye ujuzi mkubwa??????
Huu uzi usiunganishwe naomba nipate mawazo tofauti inawezekana ni mawazo yangu potofu labda wizara inamalengo yake.