Mnyakyusa Ipinda
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 439
- 1,526
Kwako waziri wetu wa Afya Dr. Gwajima.
Sijajua sababu ilofanya hadi muweke bei ghari hivyo kuoata hichi kipimo kwa wanaosafiri, kipimo ni 235,000 Tsh. (100 USD) , hii sio sawa kiukweli mnatuumiza sana sisi wa vipato vya chini ambao tunapata visafari vya dharula katika kutafuta maisha, huu ni unyonyaji, mala ya mwisho ilikua ni elf 40 kupima na ilikuwa very fair, sijajua why mmefanya kiwe ghari, alafu kibaya zaidi hamuweki taarifa wazi, yani mtu hadi uende maabara ya Taifa ndo unaambiwa.
Haya pili kumbe mmehamishia upimaji wa Covid kwenye Hospitali zingine na maabara ya taifa imebakiza kupokea samouli tu, lakini hakuna taarifa zozote kwa umma (unless sikuona mimi) ila nilikuta watu wengi wanaenda mabara ya Taifa wanaishia getini wanaambiwa sasa hivi hawapimi. Mnatukosea jamani, yani Wizara ya afya mambo mengi hayako wazi na yaliyoko wazi hayako sahihi, huku mnasema hivi mtu akienda hospitalini au taasisi zilizo chini ya wizara anakuta mambo tofauti, hii sio sawa kabisa.
Waziri Gwajima wewe ndo waziri wa sasa na unajitahidi sana lakini hili la kipimo cha Covid hapana jamani msifanye kama ndio kitegauchumi mtakua mnatuumiza, sio kila anaeenda nnje ya nchi ana uwezo, wengine ni waganga njaa tu, au hata wale tunaosafiri East Africa basi mngeangalia upya bei za kupima, kaeni na wadau muone mnatusaidiaje wananchi wenu.
Hapa nimeandika kwa hudhuni sanan sababu nahisi nakosa interview yangu ya kazi sababu sina uwezo na nimepata kazi Uganda huko na natakiwa nisafiri, nimejichanga kwa ndugu jamaa na marafiki ila la Covid nimeshindwa na sijui nafanyaje manake nimeenda hadi Maabara ya Taifa kupeleka ombi langu nisaidiw nipimwe ili niwahi kazi wamekataa wanasema kipimo hakina exemption , 😭😭😭 Kama mkulugenzi upo humu unisikie , hii sio sawa jamani. Nakosa hata cha kuandika sababu nimeghafirika na sijui la kufanya, yani budget yangu nzima ya kwenda na kurudi na kuishi huko ndio bei ya kupima Covid....
Sijajua sababu ilofanya hadi muweke bei ghari hivyo kuoata hichi kipimo kwa wanaosafiri, kipimo ni 235,000 Tsh. (100 USD) , hii sio sawa kiukweli mnatuumiza sana sisi wa vipato vya chini ambao tunapata visafari vya dharula katika kutafuta maisha, huu ni unyonyaji, mala ya mwisho ilikua ni elf 40 kupima na ilikuwa very fair, sijajua why mmefanya kiwe ghari, alafu kibaya zaidi hamuweki taarifa wazi, yani mtu hadi uende maabara ya Taifa ndo unaambiwa.
Haya pili kumbe mmehamishia upimaji wa Covid kwenye Hospitali zingine na maabara ya taifa imebakiza kupokea samouli tu, lakini hakuna taarifa zozote kwa umma (unless sikuona mimi) ila nilikuta watu wengi wanaenda mabara ya Taifa wanaishia getini wanaambiwa sasa hivi hawapimi. Mnatukosea jamani, yani Wizara ya afya mambo mengi hayako wazi na yaliyoko wazi hayako sahihi, huku mnasema hivi mtu akienda hospitalini au taasisi zilizo chini ya wizara anakuta mambo tofauti, hii sio sawa kabisa.
Waziri Gwajima wewe ndo waziri wa sasa na unajitahidi sana lakini hili la kipimo cha Covid hapana jamani msifanye kama ndio kitegauchumi mtakua mnatuumiza, sio kila anaeenda nnje ya nchi ana uwezo, wengine ni waganga njaa tu, au hata wale tunaosafiri East Africa basi mngeangalia upya bei za kupima, kaeni na wadau muone mnatusaidiaje wananchi wenu.
Hapa nimeandika kwa hudhuni sanan sababu nahisi nakosa interview yangu ya kazi sababu sina uwezo na nimepata kazi Uganda huko na natakiwa nisafiri, nimejichanga kwa ndugu jamaa na marafiki ila la Covid nimeshindwa na sijui nafanyaje manake nimeenda hadi Maabara ya Taifa kupeleka ombi langu nisaidiw nipimwe ili niwahi kazi wamekataa wanasema kipimo hakina exemption , 😭😭😭 Kama mkulugenzi upo humu unisikie , hii sio sawa jamani. Nakosa hata cha kuandika sababu nimeghafirika na sijui la kufanya, yani budget yangu nzima ya kwenda na kurudi na kuishi huko ndio bei ya kupima Covid....