officialnahya
Senior Member
- Sep 12, 2017
- 101
- 246
Nimepita juzi hapo Temeke Magorofani nikakuta watu wanauza matunda kilichonishtua ni mtu ameweka mananasi yaliyokatwa vipande vipande juu ya meza halafu nzi wa chooni wale nzi wakubwa wenye rangi ya gold wamejaa kwenye hayo mananasi na muuzaji hana habari.
Wizara ya Afya ichukue tahadhari mapema kwa kuwalazimisha watu Wanaouza matunda au vyakula kuwa na makabati ya vioo yasiyoweza kupitisha nzi, la sivyo kwa hali ile kipindupindu kitazuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wizara ya Afya ichukue tahadhari mapema kwa kuwalazimisha watu Wanaouza matunda au vyakula kuwa na makabati ya vioo yasiyoweza kupitisha nzi, la sivyo kwa hali ile kipindupindu kitazuka.
Sent using Jamii Forums mobile app