Wizara ya Afya angalieni hizi saluni za kunyolea nywele na maambukizi ya UKIMWI

saloons, kuna scrubs,pedicure & manicure, massages etc! lazima ngoma ikukamate huko!
 
Acheni Hofu HIV huwezi patia saloon hakuna any scientific proof kuhusu ilo
 
Mi nywele sinyoag napunguza tu kdg kwa juu, kuhusu ndevu hamna mashine ya kunikata kidevu dunia hii, la sivyo itakufa yenyewe, nina kidevu kigumu tupa imesingziwa
 
Mi nywele sinyoag napunguza tu kdg kwa juu, kuhusu ndevu hamna mashine ya kunikata kidevu dunia hii, la sivyo itakufa yenyewe, nina kidevu kigumu tupa imesingziwa
Unaweza kuwa salama...na wanaonyoa kipara.
 
Upo sahihi. Kuna haja ya Jamii kulifahamu hili.

Huwa nikienda saluni sichongi wala kumaliza nywele kichwani. Nadhani wanaonyolewa Upara na kuchonga wapo kwenye hatari ya maambukizi zaidi. Jao na mimi si haba, ni rehema za Mungu tu.

Kila mmoja wetu awe balozi wa kuhimiza usalama/ usafi wa vyombo vya kunyolea.

Mungu anatulinda sana.
 
Mkuu sayansi inasema hakuna any reported case ya HIV infection from saloon na yule kiumbe akiwa nje ya damu haishi
Maajabu Tanzania.....umewahi kwenda kupima HIV then ukaambiwa Virusi hivi umevipata ukiwa unafanya ngono,kuchomwa sindano yenye maambukizi,uliongezewa damu au sababu nyingine yoyote ile na huyo mpimaji au ulipima na kupewa majibu tu....Hizo sababu ni wewe ambayo unaweza kuwa unajua na wala si mpimaji.

Hata saluni kuna mazingira ambayo wewe unaweza kupata virusi vya Ukimwi ndiyo tunayoanongelea....kuna uwezekana wa mtu mmoja au wawili waliopata virusi vya ukimwi wamevipata saluni pasipo wao kujua kutokana na mazingira ya vifaa vinavyotumika na namna vinavyotakaswa.

Soma taratibu utaelewa tu usibishe tu kitu ambacho hukijui.
 
Upo sahihi. Kuna haja ya Jamii kulifahamu hili.

Huwa nikienda saluni sichongi wala kumaliza nywele kichwani. Nadhani wanaonyolewa Upara na kuchonga wapo kwenye hatari ya maambukizi zaidi. Jao na mimi si haba, ni rehema za Mungu tu.

Kila mmoja wetu awe balozi wa kuhimiza usalama/ usafi wa vyombo vya kunyolea.

Mungu anatulinda sana.
Good comment...I salute
 
Mie naona kitu hatari cha exposed mtu salooni kwa ukimwi ni during scrubbing mtu anatumia mikono yake kwa kuscrub mtu mwingine bila kuvaa gloves aisee hatari
 
Msiangalie Ukimwi tu, vipi kuhusu cancer ya ngozi & damu?

Maana nimeona wanaume wengi sana wakipata yale mauvimbe nyuma kabisa ya shingo!

Ukaguzi unahitajika sana!
 
Back
Top Bottom