Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,738
- 14,637
Kutoa fundisho kwa vifaranga? Maana vifaranga ndiyo vilivyoteseka!Hakukuwa na namna Mkuu; ujumbe uliotakiwa kufika ungefikaje bila approach hiyo? Nadhani lengo lilikuwa "kutoa fundisho" kwa wengine wenye tabia kama hiyo.