Wizara muhimu zote zinaongozwa na Wanawake (Ulinzi, Afya, Elimu, TAMISEMI, Teknolojia, Foreign) sasa tunasubiri Jaji Kiongozi

Ni kweli kwa sasa Wanawake wanaweza wao wenyewe bila kuwezeshwa kwa sababu wizara zote wanazoongoza so far zinafanya vizuri.

Mulamula yuko vizuri, Ndalichako anasonga mbele, Ummy anatuvusha na Gwajima anazidi kutuimarisha.

Hata bungeni Dr Tulia anafanya vizuri sana pamoja na Katibu wa bunge.

Pale mahakamani ndio bado hapajabalance lakini tunategemea Rais Samia atapabalansisha kwenye uteuzi wa Jaji Kiongozi

Mungu ni mwema wakati wote!
Wanaume wengine bwana, kama wamechomwa ganzi vile!
 
Wote hao mpaka sasahivi wameunderperform. Elimu yetu bado kizungumkuti, Tamisemi hakueleweki, foreign affairs alisifiwa mwanzoni Ila nae hamna kitu. Hata hao wengine wapya pia wataunderperform.

Uanamke usiwe kigezo cha mtu kupata uongozi, bali uwezo. Ni vile Samia anataka kutumia karata ya wanawake kujizolea umaarufu.
 
Akimtoa anabandika mama mwingine,wanataka kumiliki Taasisi za Fedha ikiwemo Benki Kuu.
 
Ni kweli kwa sasa Wanawake wanaweza wao wenyewe bila kuwezeshwa kwa sababu wizara zote wanazoongoza so far zinafanya vizuri.

Mulamula yuko vizuri, Ndalichako anasonga mbele, Ummy anatuvusha na Gwajima anazidi kutuimarisha.

Hata bungeni Dr Tulia anafanya vizuri sana pamoja na Katibu wa bunge.

Pale mahakamani ndio bado hapajabalance lakini tunategemea Rais Samia atapabalansisha kwenye uteuzi wa Jaji Kiongozi

Mungu ni mwema wakati wote!
natamani na mkuu wa majeshi ateuliwe mwanamke,

na IGP wa police ateuliwe mwanamke

na waziri mkuu ateuliwe mwanamke

natamani nchi iwe ya kike.
 
Wote hao mpaka sasahivi wameunderperform. Elimu yetu bado kizungumkuti, Tamisemi hakueleweki, foreign affairs alisifiwa mwanzoni Ila nae hamna kitu. Hata hao wengine wapya pia wataunderperform.

Uanamke usiwe kigezo cha mtu kupata uongozi, bali uwezo. Ni vile Samia anataka kutumia karata ya wanawake kujizolea umaarufu.
Nyinyi wanaume mumetupelekesha wapi miaka yote hiyo? WAcha akina mama waongoze tuone mafanikio yao.

Ndiyo.... IGP, Mwanasheria Mkuu, Jaji kiongozi, CAG.... na wengine wengi wapewe nafasi wanawake zamu yao mara hii.

Muliona utendaji wa mama Anna Makinda kama Spika ulikuwa safi sana.....
 
Tatizo ni kupiga dili!

Si ulimuona Jaffo alivyikuwa anarukaruka Tamisemi tukaamini anajenga madarasa kumbe hamna lolote usanii mtupu!
Usanii, usanii... Du CCM ni ile ile. Muigizaji ndio anayefahamika kwa lugha zao. Watanzania tunasafari ndefu.

Mmama alipomtoa TAMISEMI wengi tulishangaa, lakini tumemuelewa mama kuwa huyu kijana Jafo alikuwa mpigaji vile vile.
 
Anayeunda serikali ni nani ujerumani?
Chansellor, ila ni kwa matakwa na nguvu za viongozi wengine(hajiamulii tu). Viongozi hao ni pamoja na Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani.

Kifupi nchi hawezi kuiongoza yeye kama yeye pasipo msaada wa wanaume wa shoka pembeni. Chukulia England.
 
Pale IGP afande Kaganda anafiti kinoma, l Mama tufanyie mchakato CDF na TISS boss wawe kinamama, tunahitaji mapinduzi ya kweli ya kuendeleza nchi, na nchi hii ili iendelee akina Mama wawe mbele kwenye nyanja zote za uongozi na mihimili yote.
Wana mshakanywa na mama mtulize vitenesi msije dundishwa.
 
Swali la maana ni kama wanaweza na sio ni jinsia gani....

Haya mambo ya 50 / 50 ni upuuzi uliokithiri..., Ubaguzi / Upendeleo ni Ubaguzi tu..., iwe ni Rangi, Jinsia, Kabila au Chochote kile..., kwenye utendaji inabidi kuwa na Ubaguzi wa aina moja tu..., nao ni UWEZO
 
Back
Top Bottom