Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Nadhani kuna somo watakuwa wamelipata...hawatutishi tishi,hawatubabaishi. Hatuhitaji misaada yao nasi hatuwapi ya kwetu.
Huu ni wakati wa kuacha kushirikiana na WHO,IFM,WB,USA na West Countries ambazo zinadhani zina uwezo wa kulingana nasi.
Walitegemea tungekufa kwa Corona kumbe ndo kwanza tumejifukiza na miti yetu hii ipo telee kwa joto la Centigrade 100 na zaidi. Virusi vya Corona vimelainika na kuwa supu miilini mwetu.
Hatujaka misaada yao yenye masharti.na najua kuna siku wao watataka misaada kwetu ndipo tutakapowakumbusha manyanyaso yao.
Tunawashinda kila sehemu na wale waliokuwa wakifa kwa Corona kwa kutumwa na mabeberu tunawaambia janja yao tumeifahamu.tanzania bado ipo sana. Wataiona hivi hivi.
Huu ni wakati wa kuacha kushirikiana na WHO,IFM,WB,USA na West Countries ambazo zinadhani zina uwezo wa kulingana nasi.
Walitegemea tungekufa kwa Corona kumbe ndo kwanza tumejifukiza na miti yetu hii ipo telee kwa joto la Centigrade 100 na zaidi. Virusi vya Corona vimelainika na kuwa supu miilini mwetu.
Hatujaka misaada yao yenye masharti.na najua kuna siku wao watataka misaada kwetu ndipo tutakapowakumbusha manyanyaso yao.
Tunawashinda kila sehemu na wale waliokuwa wakifa kwa Corona kwa kutumwa na mabeberu tunawaambia janja yao tumeifahamu.tanzania bado ipo sana. Wataiona hivi hivi.