Wasalaaam,
Hii inatuhusu wanaume tuu, hivi ulishawahi kuhisi wivu kwa mchepuko? yan unajua kabisa kuwa yule mwanamke namgonga tu afu bhaaas, ila ukisikia amegongwa na mwingine unaumia?
Mana jana nimekalishwa kikao, nimemuiba dada mmoja mpangaji mwenzangu, yeye ndo kayataka, kajisogeza me nikala, sasa kuna mshkaji anafikaga hapo kwa siri (inasemekana ameoa so anamkula bidada kwa siri kumbe), kumbe kajua nami nimekula. Aisee anatamani hata kujiua yaan, eti kikao na mwenyenyumba.
Nani ameshawahi kumlinda mchepuko?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inatuhusu wanaume tuu, hivi ulishawahi kuhisi wivu kwa mchepuko? yan unajua kabisa kuwa yule mwanamke namgonga tu afu bhaaas, ila ukisikia amegongwa na mwingine unaumia?
Mana jana nimekalishwa kikao, nimemuiba dada mmoja mpangaji mwenzangu, yeye ndo kayataka, kajisogeza me nikala, sasa kuna mshkaji anafikaga hapo kwa siri (inasemekana ameoa so anamkula bidada kwa siri kumbe), kumbe kajua nami nimekula. Aisee anatamani hata kujiua yaan, eti kikao na mwenyenyumba.
Nani ameshawahi kumlinda mchepuko?
Sent using Jamii Forums mobile app