Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wakuu nimekua nikifuatilia maada nyingi za ndoa na upenzi humu kwenye jamvi nikaja gundua kuwa yaote yatokeayo ndani ya mahusiano hayo ni wivu wa mmoja wao kutomwamini mwenzie au kutokuwa karibu na mwenzi wake iwe kwenye ndoa au huko kwenye upande mwingine.
Wakuu naombeni nisaidie nani anastahili kuwa na wivu kwa mwenzie?Mwanamke au mwanaume?na ni wivu gani mzuri wa upande wa mwanamke au mwanamume.?
Na kama nitakuwa natumia neno wivu kwa tafsiri toafuti na niliyomaanisha kwenye maelezo ya mwanzo;Je nini maana ya wivu?Nini Faida na hasara za wivu?
Labda hili likikijibiwa tutakuwa tumemsaidia mwanajamii one na wengine tunaoazinshia thread zenye muingiliano wa mahusiano.
Wakuu nawasilisha.
Wakuu naombeni nisaidie nani anastahili kuwa na wivu kwa mwenzie?Mwanamke au mwanaume?na ni wivu gani mzuri wa upande wa mwanamke au mwanamume.?
Na kama nitakuwa natumia neno wivu kwa tafsiri toafuti na niliyomaanisha kwenye maelezo ya mwanzo;Je nini maana ya wivu?Nini Faida na hasara za wivu?
Labda hili likikijibiwa tutakuwa tumemsaidia mwanajamii one na wengine tunaoazinshia thread zenye muingiliano wa mahusiano.
Wakuu nawasilisha.