WITO: Waziri wa Habari tafadhali mteue Pascal Mayalla kuwa mjumbe wa Kamati ya Maudhui.

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,825
9,532
Mheshimiwa Waziri huyu mzee Pascal Mayalla a.k.a "njaa"(joke kidogo) amejipambanua mara nyingi kuwa na uwezo sana kwenye sekta ya Utangazaji...na kusema kweli ni Mtangazaji mkongwe na mtu ambae anayaelewa sana maadili ya utangazaji nashauri kwa mujibu wa sheria...na kama ulivyopewa nguvu huyu mzee ujuzi wake autumie kwenye Kamati ya Maudhui ili asaidie kurekebisha vituo vya utangazaji aungane na wale wakongwe wengine kwenye kamati hiyo.

Nimeandika hasa kutokana na maoni yake kuhusu kipindi hiki ambacho kweli hata mimi binafsi sijakifurahia...Uzi huu umempambanua huyu mzee.
https://www.jamiiforums.com/threads...upa-viwembe-live.1584952/page-3#post-31490222
Nawasilisha.
 
Akipata mkate ndio utaijua rangi yake vizuri. Huwa siwezi amini binadamu mwenzangu siku hizi nilikuwa hivo zamani maana wengi niliowaamini wamenikatisha tamaa aisee.
 
Pascal Mayalla (manjaa)

This man is capable

Very committed with tender and is well organised. He is focussed and self motivated

Actually very brilliant with moral and ethical value to work on civil servant office
 
Wasiwasi WANGU nikwamba atafelishwa na vilaza.

Mtu bright kstikati ya vilaza lazima azame
 
Hoja naiunga mkono, ikiwa mim ni mmoja wa wajumbe wa kamati ya maadili na mwenye kura durufu ya VETO naunga mkono hoja bila kupigwa na yoyote
 
Wewe hautaki kuchaguliwa?
Hapana ile kamati wanataka waandishi wa habari mi fundi magari na kamati ya maudhui wapi na wapi labda kama kuna kamati ya kuichunguza rejeta inayovuja hapo nitaomba hata kuwa mwenyekiti
 
Back
Top Bottom