Ni wazi Rais Kikwete anakabiliwa na kazi ngumu hivi sasa haswa kwa mambo mawili makubwa;
KWANZA, Ni kuunda Upya kabisa Cabnet, (au labda kuikarabati), Kazi ambayo naamini si rahisi kwake kutokana na ukweli kuwa amefanya hivyo mara tatu bila matokmeo ya kuridhisha.
PILI, Safari ya uandikwaji wa Katiba Mpya inaanza. Safari itakua na ugumu wa aina yake haswa tukikumbuka kwa mfano suala la Muundo wa serikali ama MOJA, MBILI au TATU lilivyo mvutano Nchini.
Ndg zangu Rais huyu anaongoza Nchi na si familia yake. Na nchi ni yetu sote pamoja na Wewe!
Hatuna budi kila mmoja wetu kwa imani yake, Tumuombee awe na Busara na Hekima Pamoja na wanaomsaidia na kumshauri ili aweze kutupitisha salama katika Mambo haya,
"TOGETHER WE SHALL STAND"
KWANZA, Ni kuunda Upya kabisa Cabnet, (au labda kuikarabati), Kazi ambayo naamini si rahisi kwake kutokana na ukweli kuwa amefanya hivyo mara tatu bila matokmeo ya kuridhisha.
PILI, Safari ya uandikwaji wa Katiba Mpya inaanza. Safari itakua na ugumu wa aina yake haswa tukikumbuka kwa mfano suala la Muundo wa serikali ama MOJA, MBILI au TATU lilivyo mvutano Nchini.
Ndg zangu Rais huyu anaongoza Nchi na si familia yake. Na nchi ni yetu sote pamoja na Wewe!
Hatuna budi kila mmoja wetu kwa imani yake, Tumuombee awe na Busara na Hekima Pamoja na wanaomsaidia na kumshauri ili aweze kutupitisha salama katika Mambo haya,
"TOGETHER WE SHALL STAND"