JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Kama ujumbe unakufaa chukua TEC sio chama cha siasa au serikali inayokuambia CHUKUA tahadhari halafu wao wanaenda msibani hawajavaa hata BARAKOAHawa nao wanazingua bure tu, Naona ni kama TEC haisimamii au haihusiani vizuri na majimbo maana haya wanayoagiza sioni yakitekelezwa na majimbo, ni kama wanajisemeo tu huko makao makuu