Sir Lindege
Member
- Sep 10, 2013
- 34
- 180
NAWAANDIKIA kuwahimiza vijana wa CCM kuipigania CCM na serkali yake popote mtakapokuwa, iteteeni CCM, mtetee Rais wetu Samia Suluhu Hassan, semeni mema yanayofanyika na awamu ya sita kwa nguvu zote.
Msiposema nyinyi watasema maadui zetu, ambao kamwe hawatasifia isipokuwa kuwaaminisha watu kwamba hakuna kilichofanyika. Vjana wa CCM jielimisheni, fanyeni utafiti Kisha muingie kwenye mijadala na mjenge hoja za nguvu kwa kusema ukweli dhidi ya upotoshaji.
Kila kijana wa CCM atafute askari 5-10 waaminifu wa mtandaoni (online soldiers) watakaojitolea kupigania CCM na serikali yake mitandaoni ambako ndiko hasa vita ilikohamia, huko ndiko watu walipo na adui analifahamu hili na anapigana kufa ma kupona, sisi tumetulia ama tunapigana mmoja mmoja kinyonge!
Hapana, sasa imetosha! Vijana wa CCM mna nguvu kubwa, unganeni, pambaneni kwa maslahi mapana ya taifa letu:hii ni dhamana ambayo Chama chetu kimekabidhiwa, mna wajibu wa kulinda taifa hili, TETEENI CCM NA SERIKALI YAKE KWA NGUVU ZOTE, BILA HOFU WALA VURUGU BALI KWA HOJA!
CCM OYEEEEEE!
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Together we strong,
Separated we're WEAK!
~Eric James Shigongo.
Msiposema nyinyi watasema maadui zetu, ambao kamwe hawatasifia isipokuwa kuwaaminisha watu kwamba hakuna kilichofanyika. Vjana wa CCM jielimisheni, fanyeni utafiti Kisha muingie kwenye mijadala na mjenge hoja za nguvu kwa kusema ukweli dhidi ya upotoshaji.
Kila kijana wa CCM atafute askari 5-10 waaminifu wa mtandaoni (online soldiers) watakaojitolea kupigania CCM na serikali yake mitandaoni ambako ndiko hasa vita ilikohamia, huko ndiko watu walipo na adui analifahamu hili na anapigana kufa ma kupona, sisi tumetulia ama tunapigana mmoja mmoja kinyonge!
Hapana, sasa imetosha! Vijana wa CCM mna nguvu kubwa, unganeni, pambaneni kwa maslahi mapana ya taifa letu:hii ni dhamana ambayo Chama chetu kimekabidhiwa, mna wajibu wa kulinda taifa hili, TETEENI CCM NA SERIKALI YAKE KWA NGUVU ZOTE, BILA HOFU WALA VURUGU BALI KWA HOJA!
CCM OYEEEEEE!
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Together we strong,
Separated we're WEAK!
~Eric James Shigongo.