Kwa mara ya kwanza nimejikuta naingiwa na uzalendo wa hali ya juu wa kufanya Campaign ya masafa marefu (kwa simu) kuhamasisha ndugu, rafiki, na jamaa zangu huko Tanzania kwenda kupiga Kura. Nimeweza kuwafikia takribani watu 70 ndani ya dakk 5. Please kwa wale tulio nje ya Nchi hii ndio njia pekee ya ku-participate katika uchaguzi huu.
And, wa muda mrefu sasa (since 2006) nimekuwa under dog kwenye hii JF:tape: kama msomaji ila bila kushare vision zangu wala kupost kitu chochote.
Ila kwa kifupi napenda kusema Asanteni njote mnaoiwezesha JF...saa ya ukombozi imefika GO VOTE FOR CHANGE, VOTE FOR THE NEW VISION, VOTE FOR NEW TANZANIA!!!...Mungu Ibariki Tanzania!
:cheer2:
And, wa muda mrefu sasa (since 2006) nimekuwa under dog kwenye hii JF:tape: kama msomaji ila bila kushare vision zangu wala kupost kitu chochote.
Ila kwa kifupi napenda kusema Asanteni njote mnaoiwezesha JF...saa ya ukombozi imefika GO VOTE FOR CHANGE, VOTE FOR THE NEW VISION, VOTE FOR NEW TANZANIA!!!...Mungu Ibariki Tanzania!
:cheer2: