vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,803
- 2,185
Kwa wale wenye kupenda kusoma yenyewe; nimeiambatanisha hapo juu kwenye posti ya kwanza. Siyo ndefu sana wala ngumu sana kuielewa.
Kweli sheria sio ndefu na rahisi kueleweka lakini once akiiweka na kuanza kutumika usishangae tukaambiwa CDM inafutwa kwani inasaidia kueneza Corona ktk mikutano yake na inawezekana 100% kwa hapa tulipofikia mungu apishilie mbali