mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,036
Mwili wa Kristo uliopo Tanzania kesho katika umoja wetu tumwombee Askofu Gwajima. Tuombe Mungu ampe ujasiri na hekima ambayo hakuna atakayeweza kuhojiana nayo!! Roho Mtakatifu ahusike mwanzo mwisho!! Ikiwezekana baada ya mahojiano kitokee kitu kitakachowashikisha adabu toka kwa mzee wa siku!!
Askofu tunakuombea kama kanisa la kwanza walivyomwombea Petro alipokuwa amekamatwa na mfalme Herode na kutupwa gerezani!! Hauko peke yako, mwili wa Kristo Tanzania uko pamoja na wewe katika maombi!! Watakaokuhoji wajiandae kupambana na nguvu za Mungu!! Baada ya mahojiano watatamani ku-rewind but it will be too late!!
Askofu tunakuombea kama kanisa la kwanza walivyomwombea Petro alipokuwa amekamatwa na mfalme Herode na kutupwa gerezani!! Hauko peke yako, mwili wa Kristo Tanzania uko pamoja na wewe katika maombi!! Watakaokuhoji wajiandae kupambana na nguvu za Mungu!! Baada ya mahojiano watatamani ku-rewind but it will be too late!!