MWANA WA UFALME
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 578
- 144
Yule mnajimu aliyetishia nchi nzima kwamba uchaguzi utaahirishwa na kwamba kuna mgombea atakufa anahitaji kukamatwa mara moja kwa tuhuma za uchochezi na kutishia watu.
Alichokifanya ni mauaji ya maneno au kisaikolojia na hivyo watu kama hawa hawapasi kuachiwa hivi hivi maana ni hatari kwa amani, haki na ustawi wa taifa.
Alichokifanya ni mauaji ya maneno au kisaikolojia na hivyo watu kama hawa hawapasi kuachiwa hivi hivi maana ni hatari kwa amani, haki na ustawi wa taifa.