Wito tugomee kupanda ndege za emirates na qatar airways

Sijawahi safiri na hizi ndege ila naanza rasmi sasa :love::love::love:

Kumbe ni ndege nzuri kiasi hiki, nilikuwa nazikwepa nikijua nitakutana na wanaojilipua huko, kumbe wenyewe wastaarabu, naanza rasmi pia. Karibuni wote
 
Nasikia pia kuna baadhi ya waislam wamesusia kunywa Coca Cola na maji ya Kilimanjaro sababu zinazalishwa na kafri, wanakunywa Pepsi na maji ya Azam!

Mwaka huu tutaona mengi!! Wenzetu waenda mbele sisi na baadhi ya waarabu twarudi nyuma.
 
nafikiri mtoa mada hafahamu analoongea amekurupuka. The future sasa hivi ni emirates, hakuna shirika lolote la ndege hivi sasa ulimwenguni ambalo ni kubwa haliweweseki kutokana na mbinu za emirates. Kwa taarifa yako shirika hili limeingiza ndege mpya mwaka huu 30+ ku-add up fleet yao ambayo tayari ina ndege 80 + siongelei ndege ambazo watanzania wengi wanazifahamu naongelea new planes za uhakika sio mitumba ya ndege.

emirates wataendelea kutoa huduma za nauli rahisi kuliko shirika lolote hata kama watanzania wote wanaosafiri watasusia ndege zao, vile vile lazima ujue jamaa wamejiandaa hivi sasa wanakwenda kila kona ya ulimwengu via dubai.

cha kusikitisha sisi tanzania tumewapa more rights kuja kutua kwetu wakati hatuna ndege za kwenda kutua kwao, tumewakumbatia mafisadi wetu hapa nyumbani ambao wanajitajirisha wao na makuwadi wao wa nje. Wanaua kila kitu ambacho taifa hili lingetegemea katika kuona maisha ya wananchi wake yanakuwa bora.
emirates na qatar kwa tarifa zenu sio rahisi kama mnavodhani. Kwa mashirika yanayokuja haoa bongo wao wako juu zaidi...oman air, kenya airways, eithopia , air eygpt na air turkey wako chini sana ukilinganisha na emirates na qatar...emirates huwa wanapunguza wakati kwao ni joto hakukaliki na inabaki usd 750.!!!!!!! Wakati oman ni usd 550. Tu...
Na ni ukweli kwamba emirate ndio shirika ghali zaidi kwa yote yanayokuja bongo......................................................................................................
........................................................

Issue hapa ni mataifa ya magharibi kuipiga nchi huru...na kuwasaidia insurgents ammabo wenyewe walikua ni inner circle wa gadhafi...huwezi kujenga demokrasia ya kweli kwa mtutu wa bunduki na kusaidiwa na mataifa yanayojali maslahi yao zaidi.....utamuandoa dictator na kumuweka puppet...

Pia suala la misada ama hatuchukii mafisadi wa kwetu.....hio ni issue nyengine..naamini kwa dhati kabisa watanzania wengi hawapendi ufisadi katika nchi yao..tanzania sio nchi ya kusadikika ila tumo katika jumuia ya kimataifa hivo kuonesha kukerwa kwa uonevu unapotekea katika nchi nyengine ni wajibu wetu kama sehemu ya umma wa walimwengu.....na huu ndio msimamo wetu ...tulikaa na njaa , tukafunga mikanda, tukaweka makambi ya wapigania uhru hapa...ili kuona wenzetu wa kusini ya afrika wako huru.....na sio pekee yetu...hata libya ilifanya hivo kwa mali na hali......ndio maana nelson mandela alikua mtu wa mwanzo kuwaambia usa atakwenda libya tena kwa ndege (libya waliekewa vikwazo vya no flying zone ) ...na aliwaabia marekani hawawezi kumchagulia rafiki...gadhafi ni rafiki yake.....na anajua wao marekani walikua upande ganiwakati yeye anasota jela!!!!!
Iko siku siku tusipokua na msimamo tutakua katika matatizo na kama taifa hakuna wa kutufikiria...

Castro alisema wiki moja tu baada ya machafuko kuanza libya mwezi wa february " marekani na washirika wake wana moango wa kuipiga na kuikalia libya"....kweli imetokea.

Kwa hio wito wangu bado ni kususia .......kwanini nchi hizi?? Kwasababu wao wanatumiwa tu........
 
Mbon ten unaaingiza masuala ya kidini? mbona hata Macrusader tuliowengi tunamuombea Gadaf ushindi. Hapo ndipo mnapoharibu nyie Waisilamu wote wa Tanzania. Kama siyo wamoja hiyo ni juu yenu. Msitusingizie Wakristo kwa kila kushindwa kwenu.
 
WITO,,,, KUANZIA LEO TUSAFIRI NA EMIRATES NA QATAR AIRWAYS. Mbona hamsemi tugomee na mafuta yao?
 
Siwezi kususia maana EMirates ndo wana ndege the best kwa route za afrika,wenye kususia kwa kumpenda ghaddafi endeleeni ila mimi nampinga sana hawezi kutawala miaka yote halafu anauwa raia wake kwa kuwashambulia kwa ndege za kivita, halafu mataifa yanakuja kumchapa aache kuua raia sasa eti nimmunge ghadafi mkono, hakuna achapwe mpaka aondolewe madarakani wengi tutafurahi kupunguza madikteta wa afrika
 
Kumbe ni ndege nzuri kiasi hiki, nilikuwa nazikwepa nikijua nitakutana na wanaojilipua huko, kumbe wenyewe wastaarabu, naanza rasmi pia. Karibuni wote

Tena ajabu ni kwamba wana''serve '' ulevi mwingi na vileo vya aina nyingi na vikali kuliko mashirika ya kimagharibi
 
emirates na qatar kwa tarifa zenu sio rahisi kama mnavodhani. Kwa mashirika yanayokuja haoa bongo wao wako juu zaidi...oman air, kenya airways, eithopia , air eygpt na air turkey wako chini sana ukilinganisha na emirates na qatar...emirates huwa wanapunguza wakati kwao ni joto hakukaliki na inabaki usd 750.!!!!!!! Wakati oman ni usd 550. Tu...
Na ni ukweli kwamba emirate ndio shirika ghali zaidi kwa yote yanayokuja bongo......................................................................................................
........................................................

Issue hapa ni mataifa ya magharibi kuipiga nchi huru...na kuwasaidia insurgents ammabo wenyewe walikua ni inner circle wa gadhafi...huwezi kujenga demokrasia ya kweli kwa mtutu wa bunduki na kusaidiwa na mataifa yanayojali maslahi yao zaidi.....utamuandoa dictator na kumuweka puppet...

Pia suala la misada ama hatuchukii mafisadi wa kwetu.....hio ni issue nyengine..naamini kwa dhati kabisa watanzania wengi hawapendi ufisadi katika nchi yao..tanzania sio nchi ya kusadikika ila tumo katika jumuia ya kimataifa hivo kuonesha kukerwa kwa uonevu unapotekea katika nchi nyengine ni wajibu wetu kama sehemu ya umma wa walimwengu.....na huu ndio msimamo wetu ...tulikaa na njaa , tukafunga mikanda, tukaweka makambi ya wapigania uhru hapa...ili kuona wenzetu wa kusini ya afrika wako huru.....na sio pekee yetu...hata libya ilifanya hivo kwa mali na hali......ndio maana nelson mandela alikua mtu wa mwanzo kuwaambia usa atakwenda libya tena kwa ndege (libya waliekewa vikwazo vya no flying zone ) ...na aliwaabia marekani hawawezi kumchagulia rafiki...gadhafi ni rafiki yake.....na anajua wao marekani walikua upande ganiwakati yeye anasota jela!!!!!
Iko siku siku tusipokua na msimamo tutakua katika matatizo na kama taifa hakuna wa kutufikiria...

Castro alisema wiki moja tu baada ya machafuko kuanza libya mwezi wa february " marekani na washirika wake wana moango wa kuipiga na kuikalia libya"....kweli imetokea.

Kwa hio wito wangu bado ni kususia .......kwanini nchi hizi?? Kwasababu wao wanatumiwa tu........

Mkuu unasafiri mara ngapi kwa mwaka? Bajeti yako ya safari za ndege ni kiasi gani? Nauli ulizoandika hapo ni za kutoka wapi na kwenda wapi?

Kuhusu KQ - Sipandi ndege ambazo zinamilikiwa na Nyang'au

KLM iko nje ya route yangu hivyo huwa siitumii

Egypt Air - siwaamini marubani wake ndio wale wanaokimbilia Bikra wakifa ... ....

Ethiopian Airlines siwaamini technically baada ya ndege yao kuanguka ... ..

Ooops Emirates ndio sponsors wa Arsenal ... .... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
 
DO KEEP YOUR NEGATIVE ATTITUDES AS LOCAL AS POSSIBLE AS WE SEEK TO
PORTRAY THE BEST OUT OF TANZANIA TO THE WORLD


Seriously speaking, what exactly does the word CRUSADER bring to your well-reasoned mind and does that rationaly link up to the course of the named private multinational concerns and their trade in making it possible for goods and people to move from points 'A', 'B', ... 'Z'??

How many bombs has Air Emirates so far dropped on innocent Libyan women and children to decorate their hastened deliverance to a life after life?? Can you be kind enough to tell us how many Libyans did Air Qatar seek to dig deep down 30 feet under certain basements of magnificent buildings that tower the streets of the lovely city in the desert - Tripoli??

When you talked of a possible boycot to help bring down these cross-national carriers, I fast thought of how many jobs are likely to be lost is the global economy were to contract people of your 'Jupiter Trademark of Minds' to advise it. I thought of thousnds of dollars being paid by these flight companies say for the entire floor at Haidery Plaza, Tanzanians serving in there and at other branch offices worldwide, advertisement fees they pay us, facilitation of trade flows with and for Tanzania.

These are just but a few to mention apart from my guess on how you would on every other day be cheering in a half-mad agitation whenever the European Premier League is on courtesy of some of these carrier companies. By the way if you could equally share with us how old you are, how travelled, schools then possibly some parallels this respectful Jamii Forum could so smartly have drawn some conclusions out of it all!!!!

In a more ordinary sense, the word CRUSADE simply mean either a campaign, movement, cause, battle, fight, war or struggle. Thus, the person (s) undertaking a crusader is aptly referred to as a crusader, a campaigner, a movement agitator, person pushing for a cause, a fighter for a well-established goal or end, or a person or group involved in a struggle to make a difference. By all intents and purposes, all the verbs above are neither apportionable to the most repectful Islamic religion, Christianity, a business concern and or any other of their likes under the sun.

Now then, how do you expect us to trek to Indian Ocean all the way from Kigoma at a village that affords the Iranian Rostam Aziz a home by the lakeside then start swimming all the way to Dubai and other parts of the world simply because you seem to be holding a personal set of unexplained emotions and feelings for 'a brother-in-faith' on the country's throne and NOT the majority Moslem brothers-and-sisters-in-humanity currently suffering the dearest wrath of his iron hand???

Frankly speaking, do you still feel even a ray of the same self-defeating sentiments that you held a while before you could go through what exactly the most widely misunderstood word in the Moslem world - 'CRUSADER' loosely mean out there??? Just be true to yourself in answering this question.

Yes, if your answer is yes then my best and most humble advise for you is to try to keep as local as possible this kind of most wanting attitude at our other Jamii Forum departments without necessarily trying to force this kind of 'unrepresentative' face to stand out for our beloved country Tanzania at the JF International Forum that is equally frequented by readers other countries that has always been holding much respect and admiration on our kind take of others on issues of international significance like the one that you just raised.
 
Wewe unayesema watu wapande Ethiopian Airlines utakuwa hujawahi kutumia ilo shirika, na kwa nchi kama Tanzania ambayo kila leo mashirika yanapunguza safari zao tukisusia si ndio itakuwa mwanzo wa kuanza kupandia ndege Nairobi au Johannesburg.

Kulikuwa na call ya kususia bidhaa na huduma zinazotoka kwa mafisadi baadhi yetu tukawaita hao waungwana sio wazalendo and blah blah!!
 
Tutaendelea kususia ndege za wenzetu wakati majirani zetu Kenya kwa kutumia marubani wao wakenya na Kenya airways wanarusha dege from Frankfurt a.m hadi Nairobi!!

Tanzania tunasua sua na kuongea sana badala ya kufanya kazi tuwe na wivu wa maendeleo.

Sasa nisusie ndege ya bei rahisi Qatar na Emirates nikapande ipi?Kumbuka kutua KIA ni ghali sana, bora nitue Nairobi naokoa dola 300.

Lord have mercy on us.
 
Tena ajabu ni kwamba wana''serve '' ulevi mwingi na vileo vya aina nyingi na vikali kuliko mashirika ya kimagharibi

Poa lkini mimi na pombe noma, situmii hicho kinywaji, ila nadhani ndege ni nzuri hazina uhusiano na magaidi. Naomba kutoa hoja!
 
Iko KA na MAshirika kibao ya kichina nauli zao ni nafuu kama hizo QA na Emirates hata chini yake kutegemea msimu!

Ukoloni na udhalilishwaji hautaisha Afrika na kwa mataifa haya madogo bila watu wenyewe kubadilika na kukomboka kifikra.
 
Wewe unayesema watu wapande Ethiopian Airlines utakuwa hujawahi kutumia ilo shirika, na kwa nchi kama Tanzania ambayo kila leo mashirika yanapunguza safari zao tukisusia si ndio itakuwa mwanzo wa kuanza kupandia ndege Nairobi au Johannesburg.

Kulikuwa na call ya kususia bidhaa na huduma zinazotoka kwa mafisadi baadhi yetu tukawaita hao waungwana sio wazalendo and blah blah!!
hahaha! si umwambie tu kuwa zile si ndege ni "FUSO!"
 
kazi kwenu kwa wale wapanda ndege ;sina cha kuongezea kwa sababu sitegemei kupanda ndege lakini nashukuuru kuniongezea kile ambacho nilikuwa sikijui
 
Thread yako ina hoja ya msingi ila maudhui ya "crusader" ni hisia ambazo zinatubagua wengine ambao tunatambua kuwa vita dhidi ya Libya si halali.

Hata hivyo nashukuru kuwa wazo ambalo nalitekeleza kwa vitendo kutosafiri na hayo mashirika kumbe wengi wetu tunaona mantiki yake. Uelewa wa wengi ni ule wakujua kiasi kidogo tu cha taarifa wakati mwingine taarifa zilizopikwa (zimechakachuliwa). Na pia taarifa ambazo zinalenga kugawa maoni ya watu kwa maslahi ya kufanikisha malengo yasiyo halali na yasiyojali haki za walengwa. Kama watanzania wengi tungekuwa tunajali kujielimisha na masuala mengi ya kimataifa tungekuwa na mtazamo sahihi kuhusu suala la Libya.

Ufinyu huo wa kujijuza habari, pia kunaonyeshwa dhahiri na msimamo tata wa serikali yetu ya Tanzania kusimamia kidete haki za waafrica kwenye mchezo mchafu wa baadhi ya mataifa kama marekani.

Hata hivyo sioni tija kwenye kuangalia masuala kama lile la uvamizi wa Libya kwa jicho la udini na ule msimamo kuwa matendo ya serikali ya marekani ni uwakala wa "crusader". Sababu yangu ni uhakika kuwa msingi wa uvamizi kama wa Libya ni umiliki wa mafuta ya Libya kwa maslahi ya kiuchumi. Kinyume cha hilo je UAE na Qatar wana maslahi gani kwenye vita ya "crusaders"?
 
DO KEEP YOUR NEGATIVE ATTITUDES AS LOCAL AS POSSIBLE AS WE SEEK TO
PORTRAY THE BEST OUT OF TANZANIA TO THE WORLD

When you talked of a possible boycot to help bring down these cross-national carriers, I fast thought of how many jobs are likely to be lost is the global economy were to contract people of your 'Jupiter Trademark of Minds' to advise it. I thought of thousnds of dollars being paid by these flight companies say for the entire floor at Haidery Plaza, Tanzanians serving in there and at other branch offices worldwide, advertisement fees they pay us, facilitation of trade flows with and for Tanzania.

These are just but a few to mention apart from my guess on how you would on every other day be cheering in a half-mad agitation whenever the European Premier League is on courtesy of some of these carrier companies. By the way if you could equally share with us how old you are, how travelled, schools then possibly some parallels this respectful Jamii Forum could so smartly have drawn some conclusions out of it all!!!!


Yes, if your answer is yes then my best and most humble advise for you is to try to keep as local as possible this kind of most wanting attitude at our other Jamii Forum departments without necessarily trying to force this kind of 'unrepresentative' face to stand out for our beloved country Tanzania at the JF International Forum that is equally frequented by readers other countries that has always been holding much respect and admiration on our kind take of others on issues of international significance like the one that you just raised.

I will be clocking 62 next birthday. I am a global consultant on Monitoring and Evalution deployed by IT tools. I am a christian. I do not subscribe to the myopic "crusader" concept. But I similarly do not subscribe to the myopic concept of "Jihad". I hope you will accept if I reserve my reasons for not subscribing to those myopic views. However, I want to say generally I do not subscribe to uninformed views of things especially related to religion.

I travel internationaly 6 times return trips. I even have a premier card on Qatar Airways. Their involvement in the Libya affair has forced me to cut off (boycott) my use of their services. As for employment loss, to me it is a choice of honor not to affiliate and support dubious ventures by these American allias(satellites).

I WOULD ASK YOU TO STAND UP FOR JUSTICE REGARDLES OF CRUSADERS AND JIHADDISTS BASED ON FACTS.
 
Kaka nimeiisoma hiyo thread yako vizuri ila cha ajabu hapa wewe unaeneza Uislam na kitu ambacho hujui sisi ni waafrika tulio kuwa na dini zetu za asili hata kabla ya Uislam ulioingia Afrika karne ya 5. Na ukristo baadae na kitu cha pili unachokitetea hapa mimi sikioni kwa sababu waarabu wote wa afrika ya kaskazini ni wavamizi wa aridh ya waafrika wao walitoka bara Asia na Uislam wao wakawafukuza waafrika wenzetu weusi nao wakaishi huku, so mimi hata waarabu wote wa Afrika kaskazini wakiuwawa wote I don't have objection for that because they don't deserve to be there. Alafu huyo Gadafi mnae mn'gan'gania aliwahi kushirikiana na mwislamu mwenzake kibaraka wake mkubwa Idd Amin Dada kuwauwa ndugu zetu watanzania wenzetu. Hapa, mimi sikuelewi na ninakuona wewe ni mnafiki namba 1, kwa sababu huyo mwarabu aliwauwa ndugu zako ila sasa kwa sababu anapigwa na waarabu na waislamu wenzake wakishirikiana na wazungu unalalama unacho lalama nini ngudu yangu. IFIKE WAKATI WAAFRIKA TUACHE UNAFIKI TUSIMAME KAMA SISI NA TUSIJIKOMBE KWA MISAADA UCHWARA, KWANI NINYI AU SISI TUNGESHINDWA KUJENGA MISIKITI GADAFI ALIOIJENGA HAPA KWETU????? Wito wangu nikuwa Waafrika tuungane tusikubali dini zilizoletwa na wageni zitutenganishe.
 
Back
Top Bottom