amino acid
Senior Member
- Feb 9, 2015
- 100
- 12
Wana bodi.
Tume ya taifa ya uchaguzi,Wakurugenzi wa miji na halmashauri,polisi mawakala wa vyama na wananchi kwa ujumla tunao wajibu wa kudumisha amani sasa na wakati wa uchaguzi,kupiga kura,kuhesabu kura na kutangaza matokeo.
1.Tunashukuru zoezi la BVR limemalizika kwa amani na sasa kampeni zinaendelea vizuri japo kuna baadhi ya maeneo green guard wanashambulia watu,sehemu ya kupiga kura,kuhesabu na kutangaza matokeo ya haki ni ngazi mhimu sana ktk uchaguzi wowote huru na wa haki kwa mwaka huu maana wananchi wameamuka.
.
2.Kumbux2 za 2010 zinaonyesha kuwa vyanzo vya matatizo wakati wa uchaguzi aidha ni Nec,wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kuchakachua matokeo,mawakala wa vyama kurubuniwa,wagombea wenyewe au jeshi la polisi kuegemea upande wa chama tawala..
3.Pale wapinzani wanaposhinda matokeo hucheleweshwa kutangazwa kwa makusudi hadi siku tano bila kuwepo na sababu za msingi na wapiga kura kuishiwa na uvumilivu.
4.Chonde chonde wadau wote wa uchaguzi wa mwaka huu tunategemea ushindani mkali uchaguzi ukiwa huru na wa haki.mshindi wa haki atangazwe bila kigugumizi.
Tambueni amani haiwezi kuwepo bila haki kwanza.
Tume ya taifa ya uchaguzi,Wakurugenzi wa miji na halmashauri,polisi mawakala wa vyama na wananchi kwa ujumla tunao wajibu wa kudumisha amani sasa na wakati wa uchaguzi,kupiga kura,kuhesabu kura na kutangaza matokeo.
1.Tunashukuru zoezi la BVR limemalizika kwa amani na sasa kampeni zinaendelea vizuri japo kuna baadhi ya maeneo green guard wanashambulia watu,sehemu ya kupiga kura,kuhesabu na kutangaza matokeo ya haki ni ngazi mhimu sana ktk uchaguzi wowote huru na wa haki kwa mwaka huu maana wananchi wameamuka.
.
2.Kumbux2 za 2010 zinaonyesha kuwa vyanzo vya matatizo wakati wa uchaguzi aidha ni Nec,wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kuchakachua matokeo,mawakala wa vyama kurubuniwa,wagombea wenyewe au jeshi la polisi kuegemea upande wa chama tawala..
3.Pale wapinzani wanaposhinda matokeo hucheleweshwa kutangazwa kwa makusudi hadi siku tano bila kuwepo na sababu za msingi na wapiga kura kuishiwa na uvumilivu.
4.Chonde chonde wadau wote wa uchaguzi wa mwaka huu tunategemea ushindani mkali uchaguzi ukiwa huru na wa haki.mshindi wa haki atangazwe bila kigugumizi.
Tambueni amani haiwezi kuwepo bila haki kwanza.